May 11, 2019 07:44
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa, kundi la wapiganaji wenye mfungamano na vikosi vya serikali ya Nigeria limewaachia huru mamia ya watoto waliokuwa wakitumiwa na kundi hilo katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.