-
Bunge la Sudan lasimamisha mpango wa kurefusha uongozi wa Rais Bashir
Feb 17, 2019 04:36Kamati ya Bunge la Sudan iliyotwikwa jukumu la kuifanyia marekebisho katiba kwa lengo la kurefusha uongozi wa Rais Omar al-Bashir wa nchi hiyo imesimamisha mpango huo.
-
Larijani: Uchaguzi Iran ni hazina muhimu ya demokrasia ya kidini
Feb 05, 2019 23:13Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameutaja uchaguzi hapa nchini kama hazina muhimu ya demokrasia ya kidini.
-
Bunge la Misri lajadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais
Feb 05, 2019 12:19Bunge la Misri leo Jumanne limeanza kujadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.
-
Iraq yaionya Israel: Msifikirie kabisa kushambulia ardhi yetu
Jan 27, 2019 23:14Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq ametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na kuuonya usifikirie kabisa kushambulia ardhi ya nchi hiyo.
-
Vyama vinavyomuunga mkono Kabila vyanyakua viti vingi vya Bunge la Kongo DR
Jan 12, 2019 04:20Vyama vya siasa vinavyomuunga mkono rais anayeondoka madarakani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila vimenyakua viti vingi katika uchaguzi wa Bunge.
-
Bunge la Palestina laamua kwa wingi wa kura: Mahmoud Abbas amepoteza sifa za kuwa Rais
Jan 09, 2019 13:30Bunge la Palestina limepitisha kwa wingi wa kura ripoti ya kamati ya kisiasa ya bunge hilo kuhusu kupoteza Mahmoud Abbas, sifa za kisiasa za kuendelea kuwa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina
Dec 23, 2018 03:47Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali mpango wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahoud Abbas wa kulivunja Bunge, ikisisitiza kuwa kitendo hicho hakitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kushadidisha migawanyiko miongoni mwa makundi ya Palestina.
-
Bunge la Somalia labatilisha hoja ya kutokuwa na imani na Rais
Dec 12, 2018 04:11Bunge la Somalia limebatilisha hoja iliyowasilishwa na baadhi ya wabunge waliotaka kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na Rais wa nchi hiyo, Mohammed Abdullahi Farmajo.
-
Hashdu sh-Sha'abi yafichua njama za Marekani za kutaka kushambulia ngome zake Iraq
Nov 26, 2018 01:04Harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq kupitia mbunge mmoja wa nchi hiyo imeeleza kwamba, Marekani inapanga njama za kutekeleza shambulizi dhidi ya ngome na wapiganaji wake.
-
Bunge la Burundi laitisha kikao cha dharura kutathmini sheria + Sauti
Nov 16, 2018 02:39Bunge la Burundi lilikutana jana Alkhamisi, Novemba 15, 2018 katika kikao cha dharura cha kutathmini sheria ya kuimarisha ushirikiano wa kiusalama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.