Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burkina Faso

  • Serikali ya Burkina Faso yakadhibisha kuhusu video bandia za mauaji zilizorushwa mtandaoni

    Serikali ya Burkina Faso yakadhibisha kuhusu video bandia za mauaji zilizorushwa mtandaoni

    Mar 24, 2025 08:01

    Serikali ya Burkina Faso imelaani kuenea kwa video za upotoshaji kuhusu kujiri mauaji ya umati ya kikabila nchini humo. Serikali ya Burkina Faso imesema kuwa video hizo zilizosambaa mitandaoni ni kampeni kubwa ya vyombo vya habari ya kisiasa yenye lengo la kuchafua taswira ya nchi hiyo.

  • Waislamu na Wakristo Burkina Faso wala futari pamoja kuimarisha umoja

    Waislamu na Wakristo Burkina Faso wala futari pamoja kuimarisha umoja

    Mar 16, 2025 11:32

    Mamia ya Waislamu na Wakristo huko Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, wameshiriki pamoja dhifa ya futari katika medani ya Place De La Nation, kuadhimisha mwaka wa tatu wa utamaduni huo wa kuhamasisha mshikamano wa kijamii, wakati huu ambapo nchi hiyo inakabiliwa na ghasia za itikadi kali.

  • Ghana yakanusha kuwepo kambi ya wanamgambo wenye silaha kaskazini mwa nchi hiyo

    Ghana yakanusha kuwepo kambi ya wanamgambo wenye silaha kaskazini mwa nchi hiyo

    Oct 27, 2024 07:53

    Serikali ya Ghana imekanusha ripoti kwamba wanamgambo wanaobeba silaha huko Burkina Faso wanatumia eneo la kaskazini mwa Ghana kama kambi yao ya kuhifadhia zana za kijeshi na suhula za matibabu ili kuendeleza uasi na hujuma zao. .

  • Shirika la MSF limesimamisha kwa muda shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya Burkina Faso

    Shirika la MSF limesimamisha kwa muda shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya Burkina Faso

    Oct 22, 2024 15:15

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesimamisha kwa muda shughuli zake katika jimbo la Djibo kaskazini mwa Burkina Faso kutokana na masuala ya usalama.

  • Burkina Faso yasimamisha matangazo ya VOA ya Marekani

    Burkina Faso yasimamisha matangazo ya VOA ya Marekani

    Oct 08, 2024 12:45

    Serikali ya Burkina Faso imesimamisha matangazo ya shirika la utangazaji la Sauti ya Marekani (VOA) linalofadhiliwa na Washington kwa muda wa miezi mitatu kwa 'kushajiisha ugaidi.'

  • Burkina Faso: Madola ajinabi yanawazidishia matatizo kwa makusudi  watu wa Sahel

    Burkina Faso: Madola ajinabi yanawazidishia matatizo kwa makusudi watu wa Sahel

    Oct 01, 2024 06:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso jana alihutubia katika majadiliano ya ngazi ya juu katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kusema nchi yake inaendelea kupambana na makundi ya kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo yanayoyumbisha hali ya usalama nchini humo.

  • Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Sep 27, 2024 03:04

    Waendesha mashtaka katika nchi zinazoongozwa na serikali za kijeshi za Mali, Burkina Faso na Niger wameanzisha uchunguzi dhidi ya mwandishi wa habari wa Ufaransa Wassim Nasr, wakimtuhumu kuwa "mshirika wa ugaidi" kutokana na uchambuzi wake juu ya mashambulizi ya magenge ya kigaidi.

  • HRW: Makundi yenye silaha yanatekeleza mauaji Burkina Faso

    HRW: Makundi yenye silaha yanatekeleza mauaji Burkina Faso

    Sep 18, 2024 11:30

    Shirika la Human Rights Watch (HRW) limesema kuwa makundi yanayobeba silaha yene mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al Qaida na kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS) yamezidisha mashambulizi dhidi ya raia nchini Burkina Faso.

  • Niger, Mali na Burkina Faso zasaini mkataba wa kuidhinisha kujitoa ndani ya ECOWAS

    Niger, Mali na Burkina Faso zasaini mkataba wa kuidhinisha kujitoa ndani ya ECOWAS

    Jul 07, 2024 07:34

    Tawala za kijeshi za Niger, Mali na Burkina Faso jana zilisaini mkataba unaoidhinisha shirikisho zilizounda kati yao na kujitoa katika jumuiya ya ECOWAS.

  • Magaidi wa JNIM: Tumehusika na shambulio lililoa askari 107 Burkina Faso

    Magaidi wa JNIM: Tumehusika na shambulio lililoa askari 107 Burkina Faso

    Jun 17, 2024 07:10

    Kundi la kigaidi la Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM) lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limetangaza kuwa wapiganaji wake ndio waliofanya shambulio la hivi karibuni lilililoua makumi ya wanajeshi wa Burkina Faso.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS