Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burkina Faso

  • Burkina Faso yarefusha muda wa utawala wa kijeshi kwa miaka mitano baada ya mashauriano ya kitaifa

    Burkina Faso yarefusha muda wa utawala wa kijeshi kwa miaka mitano baada ya mashauriano ya kitaifa

    May 26, 2024 07:07

    Kanali Moussa Diallo Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mchakato wa mazungumzo ya kitaifa ya Burkina Faso amesema kuwa wameainisha muda wa kipindi cha mpito kuwa miezi 60 kuanzia Julai Pili mwaka huu.

  • Burkina Faso yakanusha ripoti ya HRW, yasema haina mashiko

    Burkina Faso yakanusha ripoti ya HRW, yasema haina mashiko

    Apr 29, 2024 02:36

    Serikali ya Burkina Faso imekanusha vikali na kulaani tuhuma ilizosema hazina msingi zilizotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch ambalo limelituhumu jeshi la serikali ya nchi hiyo kuwa lilihusika na mauaji ya mwezi Februari mwaka huu 2024 katika vijiji vya Nodin na Soro kaskazini mwa nchi hiyo.

  • HRW: Jeshi la Burkina Faso limewauwa kiholela raia 223

    HRW: Jeshi la Burkina Faso limewauwa kiholela raia 223

    Apr 26, 2024 03:07

    Jeshi la Burkina Faso limewauwa kiholela raia 223, wakiwemo watoto wachanga kadhaa na watoto wengine wengi, katika mashambulizi dhidi ya vijiji viwili vinavyotuhumiwa kushirikiana na wanamgambo wenye silaha. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Human Rights Watch iliyotolewa jana Alhamisi.

  • Mali, Niger na Burkina Faso zaunda muungano wa kijeshi

    Mali, Niger na Burkina Faso zaunda muungano wa kijeshi

    Mar 08, 2024 07:22

    Mali, Niger na Burkina Faso zimetangaza habari ya kuunda kikosi cha pamoja cha jeshi kitakachosaidia kukabiliana na utovu wa usalama uliosababishwa na harakati za makundi ya kigaidi katika nchi hizo za Afrika Magharibi.

  • Mwendesha mashtaka wa Burkina Faso: Watu 170 waliuawa katika mashambulizi dhidi ya vijiji vitatu

    Mwendesha mashtaka wa Burkina Faso: Watu 170 waliuawa katika mashambulizi dhidi ya vijiji vitatu

    Mar 04, 2024 02:29

    Mwendesha Mashtaka wa serikali ya Burkina Faso jana Jumapili alieleza kuwa watu takriban watu 170 waliuawa katika mashambulizi dhidi ya vijiji vitatu kaskazini mwa nchi hiyo wiki moja iliyopita.

  • Waislamu wakosoa kutoakisiwa mauaji ya makumi msikitini Burkina Faso

    Waislamu wakosoa kutoakisiwa mauaji ya makumi msikitini Burkina Faso

    Feb 27, 2024 07:28

    Makumi ya waumini wa Kiislamu waliuawa katika shambulizi dhidi ya msikiti nchini Burkina Faso, siku ambayo watu 15 waliuawa pia katika hujuma nyingine dhidi ya kanisa nchini humo.

  • Mali, Burkina Faso na Niger zajiondoa kwenye jumuiya ya ECOWAS

    Mali, Burkina Faso na Niger zajiondoa kwenye jumuiya ya ECOWAS

    Jan 29, 2024 03:03

    Tawala za kijeshi katika nchi za Mali, Burkina Faso na Niger zimetangaza kuyaondoa 'mara moja' mataifa kwenye Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).

  • Baraza la Kijeshi Burkina Faso lazima jaribio la mapinduzi

    Baraza la Kijeshi Burkina Faso lazima jaribio la mapinduzi

    Sep 28, 2023 07:47

    Baraza la kijeshi nchini Burkina Faso limetangaza kwamba, vikosi vya usalama na idara za ujasusi zilizima jaribio la mapinduzi Jumanne iliyopita.

  • Burkina Faso yalifungia jarida la Kifaransa kwa kujaribu kulifanyia dharau jeshi

    Burkina Faso yalifungia jarida la Kifaransa kwa kujaribu kulifanyia dharau jeshi

    Sep 26, 2023 07:35

    Watawala wa kijeshi wa Burkina Faso wameagiza kusitishwa usambazaji wa jarida linalochapishwa kwa lugha ya Kifaransa la "Jeune Afrique" likituhumiwa kuwa limekuwa likijaribu kushusha hadhi ya jeshi la nchi hiyo.

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu Burkina Faso

    Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu Burkina Faso

    Sep 08, 2023 07:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi lililouwa makumi ya watu nchini Burkina Faso.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS