Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Burundi yakataa mpango wa ICC wa kuchunguza jinai za kivita nchini humo

    Burundi yakataa mpango wa ICC wa kuchunguza jinai za kivita nchini humo

    Nov 10, 2017 14:42

    Serikali ya Burundi imekataa mpango wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kutaka kuanzishwa uchunguzi wa jinai za kivita na ukatili uliofanyika nchini humo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • ICC kuchunguza jinai zilizofanyika nchini Burundi

    ICC kuchunguza jinai zilizofanyika nchini Burundi

    Nov 10, 2017 04:54

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa kibali cha kuanzishwa uchunguzi wa jinai na ukatili uliofanyika nchini Burundi licha ya nchi hiyo kujiondoa katika mkataba uliounda mahakama hiyo mwezi uliopita.

  • Burundi yachukua hatua ya kurefusha kipindi cha urais wa Nkurunziza

    Burundi yachukua hatua ya kurefusha kipindi cha urais wa Nkurunziza

    Oct 28, 2017 15:41

    Baraza la mawaziri la Burundi limeunga mkono mabadiliko ya katiba ambayo yatamruhusu rais wa sasa wa nchi hiyo kubakia madarakani hadi mwaka 2034, suala ambalo limeitumbukiza zaidi nchi hiyo katika mgogoro wa kisiasa.

  • DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    Sep 30, 2017 08:13

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesimamisha matangazo ya radio moja inayomilikiwa na Chama cha Wafanyabiashara wa Burundi, kwa kukosoa mauaji ya wakimbizi Warundi waliouawa hivi karibuni na wanajeshi wa DRC.

  • UN yaafiki kuendelea na uchunguzi wake kuhusu Burundi

    UN yaafiki kuendelea na uchunguzi wake kuhusu Burundi

    Sep 29, 2017 14:20

    Tume ya haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa leo Ijumaa imepitisha azimio jipya kuhusu nchi ya Burundi baada ya uchunguzi uliobaini kuwa mauaji, utesaji na ukamataji wa raia umekuwa ukiendelea nchini humo.

  • Serikali ya Kongo DR yaanza uchunguzi kuhusu mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    Serikali ya Kongo DR yaanza uchunguzi kuhusu mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    Sep 18, 2017 14:09

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa imeanza kuchunguza mauaji ya makumi ya wakimbizi wa Burundi waliouliwa nchini humo.

  • Askari wa Kongo washambuliana na wakimbizi wa Burundi, makumi ya wakimbizi wauawa

    Askari wa Kongo washambuliana na wakimbizi wa Burundi, makumi ya wakimbizi wauawa

    Sep 16, 2017 13:56

    Mapigano yamejiri kati ya wakimbizi wa Burundi na askari wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha maafa ya makumi ya wakimbizi na wengine kujeruhiwa.

  • Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania

    Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania

    Sep 07, 2017 07:46

    Awamu ya kwanza ya wakimbizi wa Burundi wanaorejea kwa hiari kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao leo.

  • Burundi yakanusha ripoti ya UN inayoituhumu kukiuka haki za binadamu

    Burundi yakanusha ripoti ya UN inayoituhumu kukiuka haki za binadamu

    Sep 06, 2017 07:48

    Serikali ya Burundi imekanusha vikali ripoti iliyotolewa Jumatatu iliyopita na Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, inayoielekezea kidole cha lawama maafisa usalama kwa mauaji, jinai na ukiukaji wa haki za binadamu unaoshuhudiwa nchini humo tangu mwaka 2015.

  • Uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai dhidi ya binadamu nchini Burundi

    Uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai dhidi ya binadamu nchini Burundi

    Sep 05, 2017 13:41

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Burundi, Umoja wa Mataifa umeanzisha uchunguzi kuhusiana na jinai dhidi ya binadamu na vitendo vya utumiaji mabavu vilivyofanywa na viongozi wa serikali ya nchi hiyo dhidi ya raia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS