-
Malaysia: Makumi ya raia waliojiunga na ISIS wameuawa na magaidi wenzao
Nov 25, 2016 01:27Khalid Abubakar, Kamanda wa Upelelezi wa jeshi la Polisi nchini Malaysia amesema kuwa, zaidi ya raia 50 wa nchi hiyo waliokuwa wamejiunga na kundi la ukufurishaji la Daesh wameuawa na wanachama wa genge hilo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ulazima wa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi muhimu katika matukio ya Mashariki ya Kati
Nov 23, 2016 08:54Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran daima imekuwa ikitoa wito kwa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi amilifu katika kukabiliana na mashinikizo dhidi ya mataifa na inayataka yasikae kimya na kuwa watazamaji tu wa matukio hayo.
-
Jaafari: Thuluthi moja ya Mosul imekombolewa na vikosi vya Iraq
Nov 22, 2016 04:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema jeshi la nchi hiyo likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi vimefanikiwa kukomboa thuluthi moja ya mji wa Mosul toka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Daesh wachinja wanazuoni wawili wa Kisuni nchini Misri
Nov 21, 2016 04:11Hisia tofauti zimeendelea kutolewa kwenye mitandao ya kijamii baada ya wafuasi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS kusambaza picha za wanazuoni wawili wa Kisuni waliowachinja kwa kuwakata vichwa katika eneo la Sinai.
-
Al Abadi: Wanajeshi wa Iraq wamo ndani ya mji wa Mosul hivi sasa
Nov 16, 2016 04:15Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wameshaingia katika mji wa Mosul na hivi sasa wanapambana na magaidi wa Daesh ndani ya mji huo.
-
HRW: Daesh wanatumia silaha za kemikali wakikimbia Mosul
Nov 12, 2016 04:20Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanatumia silaha za kemikali kaskazini mwa mji wa Mosul nchini Iraq.
-
UN: Daesh imeua makumi ya raia eneo la Hammam al-Alil, Iraq
Nov 12, 2016 00:37Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Daesh limeua kwa umati makumi ya raia wa Iraq katika eneo la Hammam al-Alil lililoko kilomita 17 kutoka kwenye mji unaozingirwa na vikosi vya jeshi la Iraq wa Mosul.
-
Putin: Syria ni uwanja wa kudhihirisha azma ya dunia ya kupambana na ugaidi
Nov 10, 2016 03:35Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, Syria ni medani ya kuonesha azma na ustahiki wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Manowari za Russia kushambulia magaidi Aleppo, Syria
Nov 09, 2016 04:37Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema hii leo vikosi vyake vya majini vitaanzisha operesheni kali ya kuangamiza magaidi katika mji wa Aleppo nchini Syria.
-
Kaburi la umati lagunduliwa karibu na Mosul nchini Iraq
Nov 08, 2016 04:15Vikosi vya serikali ya Iraq vimegundua kaburi la umati karibu na mji wa Mosul ambao kwa sasa unashuhudia makabiliano makali kati ya vikosi hivyo na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS.