-
Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika
Nov 08, 2016 03:48Gazeti la Washington Post la Marekani limeandika makala kuhusu kuenea Uwahhabi nchini Nigeria na kuongeza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unaaunga mkono viongozi wa Mawahhabi ili waweze kueneza Uwahhabi nchini humo na kote barani Afrika.
-
Makumi ya maelfu ya watu waukimbia mkoa wa Nainawa, Iraq
Nov 05, 2016 23:14Kamati ya Wahajiri ya Bunge la Iraq imetangaza kuwa, karibu watu 29 elfu wameukimbia mkoa wa Nainawa tangu ilipoanza operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul, makao makuu ya mkoa huo.
-
Jeshi la Iraq lakomboa wafungwa 45 mikononi mwa Daesh Mosul, makumi ya magaidi waangamizwa
Nov 05, 2016 09:15Kamanda wa jeshi la Iraq katika mkoa wa Nainawa (Nineve) nchini Iraq, ametangaza kuwa jeshi la serikali kwa kushirikiana na harakati ya wananchi, limefanikiwa kuwakomboa wafungwa 45 waliokuwa wakishikiliwa na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) magharibi mwa Mosul.
-
Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq
Nov 04, 2016 01:07Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa mashambulizi ya ndege za kivita za Marekani na washirika wake yanalenga zaidi makazi ya raia katika mji wa Mosul nchini Iraq.
-
Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria
Nov 04, 2016 00:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.
-
Jeshi la Iraq: Hadi sasa tumeua magaidi wa Daesh zaidi ya 900 huko Mosul
Oct 31, 2016 01:13Wizara ya Ulinzi nchini Iraq imetangaza kuwa, kwa akali magaidi 910 wakufurishaji wa kiwahabi wa genge la Daesh (ISIS) wameangamizwa katika operesheni za kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa kundi hilo.
-
Magaidi 500 wauawa, 1000 wajeruhiwa Aleppo chini ya masaa 24
Oct 30, 2016 03:43Mamia ya magaidi wameangamizwa na jeshi la Syria likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi mjini Aleppo, kusini mashariki mwa nchi, chini ya masaa 24 yaliyopita.
-
Maadui wa ash-Shabab waondoka katika mji waliouteka Somalia
Oct 28, 2016 00:45Wanachama wa kundi lenye mafungamano na genge la kigaidi la Daesh, wameondoka katika eneo waliloliteka hivi karibuni la Qandala kaskazini mashariki mwa Somalia.
-
Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh
Oct 26, 2016 11:30Seneta mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema uhusiano kati ya Washington na kundi la kigaidi la Daesh umechangia kusambaratisha usalama na utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
UN: DAESH wamewaua kinyama raia wengi wa mji wa Mosul
Oct 26, 2016 01:08Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa umepokea ripoti kadhaa zinazoonyesha kuwa, sambamba na vikosi vya jeshi la Iraq kukaribia mji wa Mosul kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua makumi ya watu wakiwemo maafisa 50 wa polisi ya Iraq ambao wameuliwa kinyama na magaidi wa kundi hilo.