Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa Daesh zinakaribia

    Waziri Mkuu wa Iraq: Zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa Daesh zinakaribia

    Oct 04, 2016 22:55

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amewaambia watu wa mji wa Mosul kuwa zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh zinakaribia.

  • Genge la wanawake wenye uhusiano na Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Genge la wanawake wenye uhusiano na Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Oct 03, 2016 23:27

    Duru rasmi nchini Moroco zimearifu habari ya kutiwa mbaroni wanawake kumi wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh ambao walikuwa na lengo la kutekeleza mashambulizi ya kigaidi katika miji kadhaa nchini humo.

  • Kinara wa ISIS (Daesh) mahututi baada ya kupewa 'sumu' Iraq

    Kinara wa ISIS (Daesh) mahututi baada ya kupewa 'sumu' Iraq

    Oct 03, 2016 11:32

    Kinara wa kundi la kitakfiri na kigaidi la ISIS (Daesh), Ibrahim al Sammarai, maarufu kama Abu Bakr al-Baghdadi, amepewa sumu akiwa pamoja na makamanda wengine wa kundi hilo katili.

  • Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Sep 16, 2016 10:26

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema jinai za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh au ISIS zinatokana na fikra za kuwakufurisha Waislamu ambazo zinatawala Saudi Arabia.

  • Morocco yaangamiza kundi la kigaidi linalofungamana na ISIS

    Morocco yaangamiza kundi la kigaidi linalofungamana na ISIS

    Sep 07, 2016 23:27

    Wakuu wa Morocco wametangaza kufanikiwa kuangamiza kundi moja la kigaidi nchini humo.

  • Wanachama wanne wa  Daesh watiwa mbaroni Somalia

    Wanachama wanne wa Daesh watiwa mbaroni Somalia

    Sep 05, 2016 09:32

    Wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wametiwa mbaroni kusini mwa Somalia.

  • 'Kusimama kidete Syria ni katika heshima za umma wa Kiislamu'

    'Kusimama kidete Syria ni katika heshima za umma wa Kiislamu'

    Sep 01, 2016 11:08

    Mwanaharakati mmoja wa Misri amesema kuwa, Syria ni katika mataifa ya kujivunia ya ulimwengu wa Kiislamu na kujilinda na kusimama kidete nchi hiyo ni heshima kwa umma wa Kiislamu.

  • Padri nchini Indonesia anusurika kuuawa na mwanachama wa Daesh

    Padri nchini Indonesia anusurika kuuawa na mwanachama wa Daesh

    Aug 29, 2016 10:11

    Polisi ya Indonesia imetangaza habari ya kunusurika kuuawa padri mmoja wa nchi hiyo kutokana na hujuma ya mwanachama wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Padri nchini Indonesia anusurika kuuawa na mwanachama wa Daesh

    Padri nchini Indonesia anusurika kuuawa na mwanachama wa Daesh

    Aug 29, 2016 09:26

    Polisi ya Indonesia imetangaza habari ya kunusurika kuuawa padri mmoja wa nchi hiyo kutokana na hujuma ya mwanachama wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Jeshi la Iraq limeangamiza Madaesh 700 katika kisiwa cha Khalidiya

    Jeshi la Iraq limeangamiza Madaesh 700 katika kisiwa cha Khalidiya

    Aug 18, 2016 22:21

    Jeshi la Iraq limetangaza kuwa limefanikiwa kuangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kukomboa kisiwa cha Khalidiya, kilichopo mashariki mwa mji wa Ramadi, magharibi mwa mkoa wa Anbar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS