Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Darfur

  • Ripoti ya UN: RSF inashambulia na kuua raia Darfur, Sudan kwa msingi wa ukabila

    Ripoti ya UN: RSF inashambulia na kuua raia Darfur, Sudan kwa msingi wa ukabila

    Mar 01, 2024 23:38

    Ripoti mpya ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema, Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF pamoja na wanamgambo vinaoshirikiana nao wanaopigania kutwaa madaraka nchini Sudan wamefanya mauaji ya kikabila na ubakaji wakati wa udhibiti wa eneo kubwa la Darfur magharibi mwa nchi hiyo, na kwamba vitendo hivyo vinaweza kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu.

  • UNHCR: Watu elfu nne wameuliwa Darfur, Sudan, mali za raia zimeharibiwa

    UNHCR: Watu elfu nne wameuliwa Darfur, Sudan, mali za raia zimeharibiwa

    Oct 18, 2023 00:20

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema, watu wapatao 4,000 wameuawa huku mali za raia zikiharibiwa katika mapigano yanayoendelea huko jimboni Darfur nchini Sudan, mapigano ambayo yalianzia kwenye mji mkuu Khartoum miezi sita iliyopita na kusambaa hadi nje ya mji huo, kati ya Jeshi la Serikali (SAF) na wanamgambo wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF).

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mara moja 'mauaji ya kiholela' huko Darfur, Sudan

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mara moja 'mauaji ya kiholela' huko Darfur, Sudan

    Jun 25, 2023 08:21

    Umoja wa Mataifa umetaka kusitishwa haraka iwezekanavyo mauaji ya kiholela ya raia wanaokimbia mapigano huko Darfur magharibi mwa Sudan. Umoja wa Mataifa umesema kuwa maelfu ya miili ya watu ambayo haijazikwa imesalia mitaani na ndani ya nyumba katika jimbo hilo lililoathiriwa na vita.

  • Watu 24 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Watu 24 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Apr 13, 2023 22:58

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa itachukua hatua kuunda jimbo jipya huko Darfur magharibi mwa nchi hiyo fikapo mwishoni mwa mwaka huu; eneo linalopakana na Chad na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Watu 200 wauawa katika jimbo la Darfur, jeshi la Sudan linatuhumiwa kuhusika

    Watu 200 wauawa katika jimbo la Darfur, jeshi la Sudan linatuhumiwa kuhusika

    Apr 26, 2022 23:18

    Zaidi ya watu 200 wameuawa huko Darfur, magharibi mwa Sudan kwenye mpaka wa nchi hiyo na Chad, katika mapigano mapya ambayo yalianza hapa na pale katika eneo hilo na baadaye yakageuka kuwa mapigano makali.

  • Watu 160 wauawa katika mapigano mapya Darfur, Sudan

    Watu 160 wauawa katika mapigano mapya Darfur, Sudan

    Apr 25, 2022 06:10

    Watu wasiopungua 160 wameuawa katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan baada ya kuibuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu.

  • Mapigano ya kikabila Darfur yasababisha vifo vya makumi ya watu

    Mapigano ya kikabila Darfur yasababisha vifo vya makumi ya watu

    Apr 01, 2022 05:55

    Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yamesababisha takriban watu 45 kuuawa, huku viongozi wa kikabila wakiripoti kwamba mapigano hayo ni sehemu ya ghasia za kikabila zinazoendelea katika eneo hilo.

  • Watu 16 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Watu 16 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Mar 09, 2022 06:52

    Watu wasiopungua 16 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Bensouda aitaka Sudan iikabidhi ICC watuhumiwa wa jinai za Darfur

    Bensouda aitaka Sudan iikabidhi ICC watuhumiwa wa jinai za Darfur

    Jun 10, 2021 07:58

    Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewataka maafisa wa serikali ya Sudan kuwakabidhi watuhumiwa wa jinai za kivita katika eneo la Darfur kwa mahakama hiyo, akiwemo rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir.

  • Mshukiwa wa Sudan anayesakwa kwa jinai za Darfur afadhilisha ICC

    Mshukiwa wa Sudan anayesakwa kwa jinai za Darfur afadhilisha ICC

    May 05, 2021 01:48

    Afisa wa zamani wa serikali ya Sudan anayetuhumiwa kuhusika na jinai zilizofanyika katika eneo la Darfur amesema anafadhilisha kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC badala ya faili lake kusikilizwa nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS