Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Darfur

  • Serikali ya Sudan na wapinzani wa Darfur wakubaliana kuwakabidhi watenda jinai kwa mahakama ya ICC

    Serikali ya Sudan na wapinzani wa Darfur wakubaliana kuwakabidhi watenda jinai kwa mahakama ya ICC

    Feb 12, 2020 02:58

    Serikali ya Sudan na viongozi wa makundi ya upinzani katika eneo la Darfur wamefikia makubaliano ya kuwakabidhi watenda jinai za kivita katika eneo hilo lililoko magharibi mwa Sudan kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) akiwemo rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Ndege ya kijeshi yaanguka Darfur, Sudan na kuua watu 18

    Ndege ya kijeshi yaanguka Darfur, Sudan na kuua watu 18

    Jan 03, 2020 12:29

    Watu 18 wameaga dunia baada ya ndege ya kijeshi kuanguka katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Watu 36 wauawa katika mapigao ya kikabila Darfur, Sudan

    Watu 36 wauawa katika mapigao ya kikabila Darfur, Sudan

    Jan 01, 2020 08:12

    Kwa akali watu 36 wameuawa katika mapigano ya kikabila yanayoendelea kushuhudiwa katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Ripoti: Wasudani hawaridhishwi na hukumu iliyotolewa dhidi ya Omar al Bashir

    Ripoti: Wasudani hawaridhishwi na hukumu iliyotolewa dhidi ya Omar al Bashir

    Dec 15, 2019 13:27

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wananchi wa Sudan hawakuridhishwa na hukumu ya kifungo cha miaka miwili katika kituo cha marekebisho ya kitabia iliyotolewa dhidi ya kiongozi aliyeondolewa madarakani wa nchi hiyo, Omar al Bashir, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa fedha za umma na ufisadi.

  • Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan

    Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan

    Nov 01, 2019 07:19

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeafiki kurefushwa muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha askari wa kulinda amani wa umoja huo na wale wa Umoja wa Afrika kinachojulikana kama UNAMID katika eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17

    UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17

    Jun 14, 2019 02:28

    Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa kwa akali watu 17 wameuawa katika kijiji cha Deleij katikati mwa jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • Mauaji Sudan yanaendelea, 11 wauawa 20 wajeruhiwa Darfur

    Mauaji Sudan yanaendelea, 11 wauawa 20 wajeruhiwa Darfur

    Jun 13, 2019 02:23

    Kamati Kuu ya Madaktari wa Sudan imetangaza habari ya kuuawa watu 11 na kujeruhiwa wengine 20 katika machafuko yaliyotokea kwenye eneo la al Dalij la jimbo la Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Uchaguzi DRC: Felix Tshisekedi arejea ili kuanza kampeni zake za uchaguzi

    Uchaguzi DRC: Felix Tshisekedi arejea ili kuanza kampeni zake za uchaguzi

    Nov 28, 2018 04:38

    Kiongozi wa chama kikongwe zaidi cha upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amerejea nchini humo kwa ajili ya kuanza kampeni za kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwezi ujao.

  • Baraza la Usalama laongeza muda wa kuhudumu kikosi cha UNAMID huko Darfur Sudan

    Baraza la Usalama laongeza muda wa kuhudumu kikosi cha UNAMID huko Darfur Sudan

    Jul 14, 2018 13:40

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika UNAMID katika jimbo la Darfur la magharibi mwa Sudan.

  • Indhari kuhusu uingiliaji wa utawala haramu wa Kizayuni eneo la Darfur, Sudan

    Indhari kuhusu uingiliaji wa utawala haramu wa Kizayuni eneo la Darfur, Sudan

    Jun 18, 2018 02:32

    Chama cha Kongresi ya Kitaifa nchini Sudan kimetahadharisha kuhusiana na uingiliaji wa utawala haramu wa Israel eneo la Darfur huko Sudan kwa lengo la kuibua machafuko nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS