Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump: Hali mbaya zaidi inaisubiri Marekani iwapo Biden atashinda 2024

    Trump: Hali mbaya zaidi inaisubiri Marekani iwapo Biden atashinda 2024

    Feb 25, 2024 10:23

    Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani kwa mara nyingine amemshambulia Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden akisisitiza kuwa, Wamarekani watakabiliwa na hali mbaya zaidi iwapo Biden atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa rais wa mwaka huu.

  • Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Jan 09, 2024 02:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Antonio Tajani, amesema kwamba Umoja wa Ulaya unapaswa kuunda jeshi lake la pamoja ambalo linaweza kuwa na jukumu la kudumisha amani na kuzuia migogoro.

  • Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani

    Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani

    Jan 06, 2024 10:52

    Maadhimisho ya miaka mitatu ya shambulio dhidi ya Bunge la Congress ya Marekani Januari 6, 2021 yamewadia huku wapinzani wawili katika uchaguzi wa rais, ambao ni Rais Mdemocrati, Joe Biden, na mgombea mkuu wa chama cha Republican, Donald Trump, wakishambuliana kwa maneno makali hasa katika kipindi hiki cha kuingia mwaka wa uchaguzi wa rais nchini Marekani.

  • Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi  ndani ya Marekani

    Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi ndani ya Marekani

    Jan 02, 2024 02:48

    Jena Marie Griswold, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jimbo la Colorado nchini Marekani, amesema kuwa ametishiwa maisha mara kadhaa baada ya kuwasilisha malalamiko yaliyopelekea kuondolewa jina la Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka huu wa 2024 kwenye orodha ya wagombea katika jimbo hilo.

  • Kuendelea  vita vya maneno vya Trump dhidi ya Rais wa Marekani

    Kuendelea vita vya maneno vya Trump dhidi ya Rais wa Marekani

    Sep 20, 2023 07:44

    Rais wa zamani wa Marekani, amekejeli hotuba ya jana ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo katika kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ikiwa ni katika kuendelea na mashambulizi yake ya maneno na ukosoaji dhidi ya kiongozi huyo.

  • Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani

    Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani

    Aug 16, 2023 02:50

    Wakati kesi ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ikiendelea sambamba na kuandaliwa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa mwaka 2024, wataalamu wametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la misimamo mikali ya kisiasa miongoni mwa Wamarekani.

  • Tofauti zapamba moto baina ya Republican na Democrats kuhusu kesi ya mtoto wa Biden

    Tofauti zapamba moto baina ya Republican na Democrats kuhusu kesi ya mtoto wa Biden

    Aug 09, 2023 03:12

    Chama cha Republican kimekosoa waziwazi mienendo ya kindumakuwili ya mfumo wa mahakama na Rais wa Merekani kuhusu kesi inayomkabili mtoto wa Joe Biden.

  • Rais wa Venezuela: White House ilipanga njama niuawe

    Rais wa Venezuela: White House ilipanga njama niuawe

    Aug 06, 2023 02:29

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amemtuhumu aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump kwamba alikuwa mstari wa mbele katika kupanga njama iliyofeli ya kuuawa kiongozi huyo wa Amerika ya Latini.

  • Trump: Rais Biden ni mraibu wa mihadarati ya cocaine

    Trump: Rais Biden ni mraibu wa mihadarati ya cocaine

    Jul 07, 2023 03:09

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amedai kuwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo ni mtumiaji wa mihadarati aina ya cocaine, na kwamba vyombo vya habari vya nchi hiyo vinajaribu kufifiliza kashfa ya kupatikana dawa hiyo ya kulevya ndani ya Ikulu ya White House.

  • Uchunguzi wa maoni: Wapiga kura wa Marekani wana wasiwasi kuhusu maandalizi ya kiakili ya Biden na Trump

    Uchunguzi wa maoni: Wapiga kura wa Marekani wana wasiwasi kuhusu maandalizi ya kiakili ya Biden na Trump

    May 24, 2023 10:46

    Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni kuhusu uchaguzi uliofanyika karibuni nchini Marekani; wananchi wa nchi hiyo wanasema wana wasiwasi kuhusu kuwa tayari kiakili Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden na mtangulizi wake Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS