Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi

    Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi

    Apr 29, 2025 02:43

    Waziri Mkuu mpya wa Greenland amesisitiza kuwa Greenland haiuzwi. Jens Frederik Nielsen ameeleza haya akimhutubu Rais wa Marekani ambaye ametaka eneo hilo kuunganishwa na Marekani.

  • Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita

    Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita

    Apr 29, 2025 02:16

    Donald Trump, rais wa Marekani, alirejea kwa mara ya pili Ikulu ya White House akiwa na kiwango cha juu zaidi cha umaarufu tangu kuanza safari yake ya kisiasa. Hata hivyo, utafiti mpya wa mtandao wa habari wa Marekani, CNN, unaonyesha kuwa umaarufu wa Trump umeshuka hadi kiwango cha chini kabisa karibu na siku ya 100 ya kurejea kwake madarakani.

  • OIC yalaani hatua ya Marekani dhidi ya shirika la UNRWA

    OIC yalaani hatua ya Marekani dhidi ya shirika la UNRWA

    Apr 27, 2025 12:11

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Marekani wa kuliondolea kinga ya kisheria Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Wapalestina (UNRWA).

  • Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Apr 27, 2025 02:26

    Indhari na radiamali mpya zimetolewa ndani ya Marekani na kimataifa kutokana na kuendelea vita vya ushuru vya Rais Donald Trump na madai yake katika uwanja huo.

  • Trump: Ukraine ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha mzozo na Russia

    Trump: Ukraine ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha mzozo na Russia

    Apr 26, 2025 05:36

    Rais wa Marekani, amedai kuwa maneno yake kuhusu kumaliza vita nchini Ukraine kwa siku moja yalitiwa chumvi, na kusema kuwa Kiev ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha vita na Russia.

  • Kukiri kufeli operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Yemen

    Kukiri kufeli operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Yemen

    Apr 26, 2025 02:39

    Wiki kadhaa zimepita tangu Marekani ilipoanzisha operesheni kubwa na tata za kijeshi dhidi ya Yemen, huku kukiwa na mashambulizi ya mara kwa mara na mengi ya anga katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, lakini hivi sasa vyombo vya habari vya Marekani vimekiri kushindwa utawala wa Trump katika operesheni zake za kujeshi huko Yemen.

  • Jeshi la Msumbiji: Uasi katika mkoa wenye utajiri wa gesi wa Cabo Delgado umemalizika

    Jeshi la Msumbiji: Uasi katika mkoa wenye utajiri wa gesi wa Cabo Delgado umemalizika

    Apr 25, 2025 06:42

    Jeshi la Msumbiji limetangaza kuwa limedhibiti kambi za mwisho za mafunzo zilizokuwa zikitumiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado, ikiwa ni ishara ya kile wanachokitaja maafisa wa jeshi hilo kuwa ni kumalizika kwa uasi wa miaka mingi katika eneo hilo lenye utajiri wa maliasili ya gesi.

  • Chuo Kikuu cha Harvard chafungua mashtaka dhidi ya utawala wa Trump

    Chuo Kikuu cha Harvard chafungua mashtaka dhidi ya utawala wa Trump

    Apr 22, 2025 07:09

    Chuo Kikuu cha Harvard kimefungua mashtaka dhidi ya serikali ya Marekani kikitaka kumzuia Rais Donald Trump asisimamishe mabilioni ya dola ya bajeti ya Serikali ya Federali kwa chuo hicho na kulinda uhuru wake.

  • Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani

    Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani

    Apr 22, 2025 02:33

    Afisa mmoja wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumapili Aprili 20 alitahadharisha kuwa kupungua misaada ya nje ya Marekani kunaweza kuzidisha ugumu na kutatiza pakubwa migogoro ya kibinadamu kote ulimwenguni.

  • Lissu athibitishwa kushikiliwa kwenye gereza la Ukonga chini ya ulinzi mkali

    Lissu athibitishwa kushikiliwa kwenye gereza la Ukonga chini ya ulinzi mkali

    Apr 19, 2025 14:32

    Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimesema viongozi wake wamekutana na viongozi wa Jeshi la Magereza na kufahamishwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu amehamishiwa Gereza la Ukonga.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS