Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kujiuzulu mawakili wa Trump kabla hajasailiwa bungeni

    Kujiuzulu mawakili wa Trump kabla hajasailiwa bungeni

    Jan 31, 2021 07:29

    Mawakili kadhaa wa timu inayomtetea Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wamejiuzulu kutoka timu hiyo ikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kusailiwa rais huyo wa zamani katika bunge la Seneti.

  • Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi

    Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi

    Jan 26, 2021 11:55

    Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).

  • Seneta wa Republican mwenye ushawishi mkubwa: Marais wastaafu Wademocrat pia watakuja kusailiwa

    Seneta wa Republican mwenye ushawishi mkubwa: Marais wastaafu Wademocrat pia watakuja kusailiwa

    Jan 24, 2021 13:48

    Mmoja wa Maseneta wa chama cha Republican wenye ushawishi mkubwa nchini Marekjani ameonya kuwa, "marais waliopita Wademocrat" pia wataweza kuja kusailiwa iikiwa Baraza la Seneti litaendelea na mpango wake wa kumsaili aliyekuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump.

  • Trump azidi kuandamwa na majanga, sasa BankUnited imemfungia hesabu zake zote

    Trump azidi kuandamwa na majanga, sasa BankUnited imemfungia hesabu zake zote

    Jan 22, 2021 11:52

    BankUnited ya Florida huko Marekani imekata ushirikiano wake wote na rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump hatua ambayo inaonekana imetokana na magenge yake kuvamia Baraza la Congress Januari 6, 2021.

  • Zarif: Trump ametupwa katika  jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Zarif: Trump ametupwa katika jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Jan 21, 2021 04:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema rais aliyeondoka Marekani wa Marekani ametupwa katika jaa la taka za historia.

  • Bolton: Mikono ya Trump imejaa damu

    Bolton: Mikono ya Trump imejaa damu

    Jan 17, 2021 07:23

    Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Marekani amesema kuwa mikono ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo imejaa damu ya watu wasio na hatia

  • Utawala wa Trump waendelea kutekeleza siasa zilizofeli dhidi ya Iran

    Utawala wa Trump waendelea kutekeleza siasa zilizofeli dhidi ya Iran

    Jan 17, 2021 06:18

    Ikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kumalizika rasmi utawala wa Rais Donald Trump nchini Marekani, utawala huo umeamua kuongeza mashinikizo ya juu zaidi na vikwazo dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran.

  • Trump; maafa na msiba kwa haki za binadamu

    Trump; maafa na msiba kwa haki za binadamu

    Jan 16, 2021 03:41

    Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake wenye utata mwingi nchini Marekani, Rais Donald Trump ameacha nyuma historia nyeusi kuhusu suala zima la haki za binadamu, huku akilaumiwa na kukosolewa vikali katika siku za mwisho za utawala wake.

  • Muswada wa kumzuia Trump kuingia Congress maisha yake yote

    Muswada wa kumzuia Trump kuingia Congress maisha yake yote

    Jan 15, 2021 14:19

    Mbunge wa chama cha Democrat wa jimbo la Georgia amewasilisha bungeni muswada ambao iwapo itapitishwa utamzuia Rais Donald Trump wa Marekani kuweka mguu wake katika Congress ya nchi hiyo.

  • Asilimia 80 ya Wamarekani wanaamini nchi yao inasambaratika

    Asilimia 80 ya Wamarekani wanaamini nchi yao inasambaratika

    Jan 15, 2021 04:36

    Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kuwa, karibu asilimia 80 ya Wamarekani wote wanaamini kuwa nchi yao inaelekea kusambaratika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS