Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia: Hatutaburuzwa na Marekani kusaini makubaliano ya bwawa la Nahdha

    Ethiopia: Hatutaburuzwa na Marekani kusaini makubaliano ya bwawa la Nahdha

    Mar 13, 2020 23:02

    Ethiopia imesema haitakubali kushinikizwa na Marekani kutia saini makubaliano ya mpango wa Washington kuhusu bwawa la al-Nahdha.

  • Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu

    Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu

    Mar 08, 2020 23:17

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuwa, inapinga vikali taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia kuhusu azimio la Baraza la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la al-Nahdha.

  • Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019

    Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019

    Mar 07, 2020 23:14

    Rasimu ya ripoti ya muda ya wachunguzi wa Ethiopia imesema ajali mbaya ya ndege ya Boeing Max 737 iliyotokea tarehe 10 mwezi Machi mwaka jana 2019 na kuua watu 157 ilisababishwa na na matatizo ya kiufundi na ubovu wa ndege hiyo ya Kimarekani.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia

    Feb 29, 2020 10:02

    Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika jimbo la Gambella, magharibi mwa Ethiopia.

  • Makumi ya waandamanaji wajeruhiwa katika maandamano nchini Ethiopia

    Makumi ya waandamanaji wajeruhiwa katika maandamano nchini Ethiopia

    Feb 24, 2020 08:15

    Maafisa wa jeshi la polisi la Ethiopia wametangaza kuwa, makumi ya watu wamejeruhiwa baada ya kutokea mripuko wa bomu katika maandamano ya kumuunga mkono Waziri Mkuu wa nchi hiyo.

  • Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Feb 21, 2020 03:18

    Muelekeo wa madola ya Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima umekuwa wa kulikoloni, kulinyonya na kulipora utajiri wake bara hilo, pamoja na kuwakandamiza Waafrika wanaopigania nchi zo kuwa huru na kujitawala.

  • UN: Wasudan Kusini wanaunda idadi kubwa ya wakimbizi Ethiopia

    UN: Wasudan Kusini wanaunda idadi kubwa ya wakimbizi Ethiopia

    Jan 26, 2020 09:28

    Umoja wa Mataifa umesema raia wa Sudan Kusini ndio wanaounda idadi kubwa ya wakimbizi nchini Ethiopia.

  • Ethiopia yatambua rasmi Baraza Kuu la Waislamu baada ya juhudi za miaka 60

    Ethiopia yatambua rasmi Baraza Kuu la Waislamu baada ya juhudi za miaka 60

    Jan 26, 2020 03:40

    Baada ya juhudi za miaka 60 hatimaye Baraza Kuu la Waislamu nchini Ethiopia limetambuliwa rasmi na serikali ya Addis Ababa, suala ambalo limetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni mafanikio ya kihistoria kwa wafuasi wa dini hiyo nchini Ethiopia.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia amjibu Trump anayelilia Tuzo ya Nobel

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amjibu Trump anayelilia Tuzo ya Nobel

    Jan 15, 2020 23:02

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amejibu matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani aliyedai hivi karibuni kuwa yeye ndiye aliyepaswa kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel mwaka jana 2019 na kusisitiza kuwa, Trump anapaswa kuwasilisha malalamiko yake kwa Kamati Andalizi ya Tuzo ya Nobel na sio kwa taifa hilo la Pembe ya Afrika.

  • Mazungumzo kuhusu bwawa la al-Nahdha yavunjika nchini Ethiopia

    Mazungumzo kuhusu bwawa la al-Nahdha yavunjika nchini Ethiopia

    Jan 11, 2020 01:20

    Wizara ya Maji ya Misri imetangaza kuwa, mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea huko Addis Ababa kati ya nchi hiyo, Ethiopia na Sudan kuhusiana na bwawa na al-Nahdha yamevunjika baada ya pande husika kushindwa kufikia makubaliano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS