-
HRW yakosoa ukandamizaji wa Saudia dhidi ya wahajiri wa Kiethiopia
Aug 16, 2019 23:12Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza wasiwasi wake kuhusu haki ya wahajiri wa Kiethiopia nchini Saudi Arabia na kukosoa ukiukwaji wa haki zao unaofanywa na maafisa wa nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia atishia kukata moja kwa moja mawasiliano ya Intaneti
Aug 03, 2019 22:37Waziri Mkuu wa Ethiopia ametangaza kuwa, endapo machafuko na hali ya kushajiishana wananchi kwa ajili ya machafuko itaendelea nchini humo, basi atachukua uamuzi wa kukata mawasiliano ya Intaneti kwa muda mrefu.
-
Ethiopia yaweka rekodi kwa kupanda zaidi ya miti milioni 350 kwa siku moja
Jul 30, 2019 20:50Waethiopia wamepanda zaidi ya miche milioni 350 ya miti katika muda wa siku moja ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupambana na utowekaji wa misitu na mabadiliko ya tabianchi.
-
Jeshi la Ethiopia kulinda usalama katika mkoa wa Kusini ulioathiriwa na machafuko
Jul 23, 2019 23:25Ethiopia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi na askari usalama wa nchi hiyo ndio watasimamia ulinzi na usalama katika mkoa wa kusini ulioathiriwa na machafuko nchini humo. Machafuko hayo yemeendelea kwa siku kadhaa na kusababisha watu 18 kupoteza maisha.
-
Mayahudi wa Ethiopia waliorubuniwa kwenda Israel wapiga "takbir" waendelea kulalamikia unyanyasaji
Jul 06, 2019 06:28Mayahudi wa Ethiopia maarufu kwa jina la Mafalasha, waliorubiniwa kwenda katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, wanaendelea kufanya maandamano ya kalalamikia unyanyasaji na ubaguzi wanaofanyiwa na Wazayuni.
-
Wayahudi wa Ethiopia waandamana kulalamikia ukatili wa polisi ya Israel
Jul 03, 2019 02:55Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Aliyepanga mapinduzi yaliyofeli Ethiopia auawa, 182 wakamatwa
Jun 25, 2019 02:41Mkuu wa usalama katika jimbo la Amhara, kaskazini mwa Ethiopia anayetuhumiwa kupanga jaribio la kuipindua serikali ya jimbo hilo ameuawa.
-
Mkuu wa Jeshi la Ethiopia auawa katika jaribio la mapinduzi
Jun 23, 2019 08:36Mkuu wa Jeshi la Ethiopia Jenerali Seare Mekonnen na maafisa wengine watatu wa ngazi za juu wameuawa katika jaribio la kuipindua serikali ya jimbo la Amhara kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Wapinzani Ethiopia watahadharisha kuhusu kuahirishwa uchaguzi wa 2020
Jun 22, 2019 02:58Wanasiasa wa mrengo wa upinzani nchini Ethiopia wametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuahirishwa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwaka 2020 ambao unatazamiwa kuwa wa kwanza chini ya waziri mkuu mpenda mageuzi Abiy Ahmad. Wamesema yamkini uchaguzi ukaahirishwa kutokana na uhasama wa kikabila unaoendelea kutokota katika maeneo mbali mbali nchini humo.
-
Wakimbizi wa Ethiopia warejea katika nchi yao kutoka Yemen
Jun 21, 2019 22:14Wakimbizi zaidi ya 2100 raia wa Ethiopia wamerejea nyumbani kutoka Yemen kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM.