-
Raia karibu 700 wa Ethiopia waliokuwa wamefungwa Saudia warejeshwa kwao
May 21, 2018 07:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia imesema kuwa, karibu raia 700 wa nchi hiyo waliokuwa wamefungwa nchini Saudi Arabia, wamerejea nyumbani.
-
Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia
May 20, 2018 07:29Saudi Arabia imekubali ombi la Ethiopia la kuwaachia huru wahajiri wapatao elfu moja raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini imesisitiza kuwa itawafukuza nchini humo malaki ya wahajiri wengine wa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Imarati yamtimua balozi wake wa Ethiopia kwa kushindwa kuandaa safari ya mkuu wake
Apr 20, 2018 14:08Serikali ya Imarati imemrejesha nyumba na kumpiga kalamu nyekundu balozi wake nchini Ethiopia.
-
Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri ili kutekeleza mageuzi
Apr 20, 2018 04:16Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia Abiy Ahmed ameteua waziri mpya wa ulinzi ikiwa ni sehemu ya mabadiliko aliyofanya katika serikali yake ili kusaidia kutekeleza mageuzi yaliyokuwa yakipiganiwa na wananchi wakati wa maandamano ya machafuko ambapo mamia ya watu waliuliwa na askari wa usalama wa nchi hiyo.
-
Maelfu ya watu wakimbia makazi yao Ethiopia
Apr 16, 2018 14:20Maelfu ya watu wamelazimika kukimbia makazi yao katika maeneo ya mpaka wa Ethiopia na Somalia kutokana na mapigano makali yanayoendelea katika eneo hilo.
-
Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia auzuru mji uliokuwa kitovu cha maandamano dhidi ya serikali
Apr 12, 2018 02:34Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia jana Jumatano aliahidi kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazoukabili mkoa anakotoka wa Oromo; ambao umekuwa kitovu cha machafuko makubwa yaliyotishia uhai wa muungano wa chama tawala nchini Ethiopia.
-
Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha
Apr 06, 2018 14:20Mkutano wa Misri, Sudan na Ethiopia wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha umegonga mwamba huku pande tatu hizo zikishindwa kuafikiana.
-
Hatimae Abiy Ahmed Ali awa rasmi waziri mkuu wa Ethiopia
Apr 03, 2018 02:24Abiy Ahmed Ali aliyekuwa anakaimu nafasi ya waziri mkuu wa Ethiopia baada ya maandamano ya wananchi kumlazimisha kujiuzulu waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Hailemariam Desalegn, jana Jumatatu aliapishwa kuwa waziri mkuu rasmi wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Zaidi ya watu 1000 watiwa mbaroni nchini Ethiopia
Apr 01, 2018 04:12Watu elfu moja na 107 wametiwa mbaroni nchini Ethiopia kwa tuhuma za kuvunja sheria za hali ya hatari nchini humo.
-
Ethiopia kumwapisha Waziri Mkuu mpya Aprili Pili
Mar 30, 2018 08:12Waziri Mkuu mteule wa Ethiopia, Abiye Ahmed ataapishwa Jumatatu ijayo. Hayo yameelezwa na Bunge la Ethiopia baada ya muungano wa chama tawala kumchagua kwa ajili ya kuziba nafasi iliyoachwa na Hailemariam Desalegn, Waziri Mkuu wa Ethiopia aliyejiuzulu.