Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yayaondoa makundi 3 ya kisiasa katika orodha ya 'magaidi'

    Ethiopia yayaondoa makundi 3 ya kisiasa katika orodha ya 'magaidi'

    Jul 05, 2018 09:19

    Serikali ya Ethiopia imeyaondoa makundi matatu ya upinzani katika orodha ya 'makundi ya kigaidi', huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za mageuzi zinazochukuliwa na Waziri Mkuu wa sasa, Abiy Ahmed.

  • Machafuko kusini mwa Ethiopia yapelekea watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao

    Machafuko kusini mwa Ethiopia yapelekea watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao

    Jul 04, 2018 22:10

    Machafuko yaliyolikumba eneo la kusini mwa Ethiopia tangu mwezi Juni mwaka huu yamewalazimisha watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao huku raia hao hivi sasa wakihitaji chakula na misaada mingine.

  • Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Jun 29, 2018 03:06

    Watu wasiopungua kumi wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa Ethiopia.

  • UN Yapongeza Ziara ya Kihistoria ya Ujumbe wa Eritrea nchini Ethiopia

    UN Yapongeza Ziara ya Kihistoria ya Ujumbe wa Eritrea nchini Ethiopia

    Jun 29, 2018 00:00

    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza ziara iliyofanywa na ujumbe wa ngazi wa juu wa Eritrea nchini Ethiopia, ikiwa ni hatua ya kwanza inayolenga kuurejesha uhusiano kati ya nchi hizo mbili uwe wa kawaida.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu

    Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu

    Jun 23, 2018 09:32

    Mripuko wa bomu umetokea katikati ya wafuasi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia mjini Addis Ababa na ambao ulikuwa umemkusudia kiongozi huyo na kusababisha watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa.

  • Genge la waasi nchini Ethiopia lasimamisha operesheni zake

    Genge la waasi nchini Ethiopia lasimamisha operesheni zake

    Jun 22, 2018 23:39

    Kundi la waasi la Patriotic Ginbot7 (PG7) la Ethiopia limetangaza uamuzi wa upande mmoja wa kusimamisha kwa muda usiojulikana operesheni zake zote za utumiaji silaha katika maeneo yote ya nchi.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia kutembelea eneo lenye misukosuko la kusini

    Waziri Mkuu wa Ethiopia kutembelea eneo lenye misukosuko la kusini

    Jun 17, 2018 02:46

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed anatarajiwa kutembelea mji wa Hawassa ambao umekuwa na vurugu zilizotokana na tofauti zilizojitokeza baina ya makabila mawili maarufu ya jimbo la kusini mwa Ethiopia.

  • Watu 10 wafariki dunia katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia

    Watu 10 wafariki dunia katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia

    Jun 16, 2018 11:27

    Mkuu wa Ofisi ya Mawasiliano wa Jimbo la 'Eneo la Mataifa ya Kusini' kusini mwa Ethiopia ametangaza habari ya kuuawa watu 10 na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila.

  • Ethiopia kuwasamehe mamia ya watu waliohukumiwa kwa makosa ya ugaidi

    Ethiopia kuwasamehe mamia ya watu waliohukumiwa kwa makosa ya ugaidi

    Jun 15, 2018 23:34

    Serikali ya Ethiopia imesema kuwa itawafutia mashtaka zaidi ya wafungwa 304 wakiwemo 289 wanaotumikia vifungo vya makosa ya ugaidi.

  • Riek Machar akubali kukutana ana kwa ana na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini

    Riek Machar akubali kukutana ana kwa ana na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini

    Jun 14, 2018 03:31

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar amekubali kukutana ana kwa ana na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika, wiki ijayo nchini Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS