Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Raia karibu 700 wa Ethiopia waliokuwa wamefungwa Saudia warejeshwa kwao

    Raia karibu 700 wa Ethiopia waliokuwa wamefungwa Saudia warejeshwa kwao

    May 21, 2018 07:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia imesema kuwa, karibu raia 700 wa nchi hiyo waliokuwa wamefungwa nchini Saudi Arabia, wamerejea nyumbani.

  • Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    May 20, 2018 07:29

    Saudi Arabia imekubali ombi la Ethiopia la kuwaachia huru wahajiri wapatao elfu moja raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini imesisitiza kuwa itawafukuza nchini humo malaki ya wahajiri wengine wa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Imarati yamtimua balozi wake wa Ethiopia kwa kushindwa kuandaa safari ya mkuu wake

    Imarati yamtimua balozi wake wa Ethiopia kwa kushindwa kuandaa safari ya mkuu wake

    Apr 20, 2018 14:08

    Serikali ya Imarati imemrejesha nyumba na kumpiga kalamu nyekundu balozi wake nchini Ethiopia.

  • Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri ili kutekeleza mageuzi

    Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri ili kutekeleza mageuzi

    Apr 20, 2018 04:16

    Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia Abiy Ahmed ameteua waziri mpya wa ulinzi ikiwa ni sehemu ya mabadiliko aliyofanya katika serikali yake ili kusaidia kutekeleza mageuzi yaliyokuwa yakipiganiwa na wananchi wakati wa maandamano ya machafuko ambapo mamia ya watu waliuliwa na askari wa usalama wa nchi hiyo.

  • Maelfu ya watu wakimbia makazi yao Ethiopia

    Maelfu ya watu wakimbia makazi yao Ethiopia

    Apr 16, 2018 14:20

    Maelfu ya watu wamelazimika kukimbia makazi yao katika maeneo ya mpaka wa Ethiopia na Somalia kutokana na mapigano makali yanayoendelea katika eneo hilo.

  • Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia auzuru mji uliokuwa kitovu cha maandamano dhidi ya serikali

    Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia auzuru mji uliokuwa kitovu cha maandamano dhidi ya serikali

    Apr 12, 2018 02:34

    Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia jana Jumatano aliahidi kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazoukabili mkoa anakotoka wa Oromo; ambao umekuwa kitovu cha machafuko makubwa yaliyotishia uhai wa muungano wa chama tawala nchini Ethiopia.

  • Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Apr 06, 2018 14:20

    Mkutano wa Misri, Sudan na Ethiopia wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha umegonga mwamba huku pande tatu hizo zikishindwa kuafikiana.

  • Hatimae Abiy Ahmed Ali awa rasmi waziri mkuu wa Ethiopia

    Hatimae Abiy Ahmed Ali awa rasmi waziri mkuu wa Ethiopia

    Apr 03, 2018 02:24

    Abiy Ahmed Ali aliyekuwa anakaimu nafasi ya waziri mkuu wa Ethiopia baada ya maandamano ya wananchi kumlazimisha kujiuzulu waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Hailemariam Desalegn, jana Jumatatu aliapishwa kuwa waziri mkuu rasmi wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Zaidi ya watu 1000 watiwa mbaroni nchini Ethiopia

    Zaidi ya watu 1000 watiwa mbaroni nchini Ethiopia

    Apr 01, 2018 04:12

    Watu elfu moja na 107 wametiwa mbaroni nchini Ethiopia kwa tuhuma za kuvunja sheria za hali ya hatari nchini humo.

  • Ethiopia kumwapisha Waziri Mkuu mpya Aprili Pili

    Ethiopia kumwapisha Waziri Mkuu mpya Aprili Pili

    Mar 30, 2018 08:12

    Waziri Mkuu mteule wa Ethiopia, Abiye Ahmed ataapishwa Jumatatu ijayo. Hayo yameelezwa na Bunge la Ethiopia baada ya muungano wa chama tawala kumchagua kwa ajili ya kuziba nafasi iliyoachwa na Hailemariam Desalegn, Waziri Mkuu wa Ethiopia aliyejiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS