Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Vinara wawili wa waasi Ethiopia warudi nyumbani baada ya mazungumzo na serikali

    Vinara wawili wa waasi Ethiopia warudi nyumbani baada ya mazungumzo na serikali

    Jun 12, 2018 22:11

    Viongozi wawili wa kundi la waasi wa Ethiopia wamerudi nyumbani baada ya kufanya mazungumzo na waziri mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed Ali..

  • Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu

    Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu

    Jun 12, 2018 09:28

    Serikali ya Ethiopia imekadhibisha vikali madai kuwa inapanga kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds, kutoka Tel Aviv.

  • Shambulizi la guruneti lajeruhi 9 katika Chuo Kikuu Ethiopia

    Shambulizi la guruneti lajeruhi 9 katika Chuo Kikuu Ethiopia

    Jun 11, 2018 02:40

    Watu tisa wamejeuhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya Chuo Kikuu kimoja kusini mwa Ethiopia.

  • Ethiopia yaafiki kutekeleza makubaliano ya suluhu na Eritrea

    Ethiopia yaafiki kutekeleza makubaliano ya suluhu na Eritrea

    Jun 06, 2018 22:49

    Serikali ya Ethiopia imeafiki kutekeleza makubaliano ya suluhu yaliyofikiwa baina yake na Eritrea kwa lengo la kuhitimisha vita na mapigano ya mpakani kati ya nchi mbili.

  • Ethiopia yakubali makubaliano ya amani na hasimu wa muda mrefu, Eritrea

    Ethiopia yakubali makubaliano ya amani na hasimu wa muda mrefu, Eritrea

    Jun 06, 2018 02:48

    Ethiopia imetangaza kuwa itakubali masharti ya makubaliano ya amani na Eritrea ya mwaka 2000, katika hatua inayonuia kupunguza taharuki na msuguano wa miongo kadhaa na jirani yake huyo.

  • Maparomoko ya ardhi yaua watu 23 Ethiopia, mvua kubwa zaendelea

    Maparomoko ya ardhi yaua watu 23 Ethiopia, mvua kubwa zaendelea

    May 28, 2018 03:01

    Watu 23 wamefariki dunia na wengine sita wamejeruhiwa kutokana na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa katikati ya Ethiopia.

  • Ethiopia yatoa msamaha kwa kiongozi wa upinzani aliyehukumiwa kifo

    Ethiopia yatoa msamaha kwa kiongozi wa upinzani aliyehukumiwa kifo

    May 26, 2018 10:56

    Serikali ya Ethiopia leo imetoa msamaha kwa kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo mwenye uraia wa Uingereza ambaye alikuwa amehukumiwa adhabu ya kifo, ikiwa ni hatua mpya ya mlolongo wa utoaji msamaha na kuwaachia huru wapinzani iliyochukuliwa na serikali hiyo baada ya miaka kadhaa ya machafuko yaliyoshuhudiwa nchini humo.

  • Ethiopia yamwita nyumbani balozi wake mdogo kutoka Saudia

    Ethiopia yamwita nyumbani balozi wake mdogo kutoka Saudia

    May 24, 2018 02:55

    Vyombo vya habari vya nchi za Kiarabu vimetangaza kuwa, baada ya Ethiopia kumwita nyumbani balozi wake kutoka Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, imemwita nyumbani pia balozi wake mdogo aliyekuweko mjini Jeddah.

  • Raia karibu 700 wa Ethiopia waliokuwa wamefungwa Saudia warejeshwa kwao

    Raia karibu 700 wa Ethiopia waliokuwa wamefungwa Saudia warejeshwa kwao

    May 21, 2018 03:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia imesema kuwa, karibu raia 700 wa nchi hiyo waliokuwa wamefungwa nchini Saudi Arabia, wamerejea nyumbani.

  • Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    May 20, 2018 02:59

    Saudi Arabia imekubali ombi la Ethiopia la kuwaachia huru wahajiri wapatao elfu moja raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini imesisitiza kuwa itawafukuza nchini humo malaki ya wahajiri wengine wa nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS