Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu, sheria ya hali ya hatari kutawala Ethiopia kwa muda wa miezi sita

    Kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu, sheria ya hali ya hatari kutawala Ethiopia kwa muda wa miezi sita

    Feb 17, 2018 17:17

    Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia Siraj Fegessa amesema sheria ya hali ya hatari itaendelea kutekelezwa nchini humo kwa muda wa miezi sita kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu Hailemariam Desalign.

  • Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia

    Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia

    Feb 17, 2018 13:26

    Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya hatari nchini humo siku moja baada ya kujiuzulu Hailemariam Desalegn Waziri Mkuu wa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa upinzani Ethiopia: Pande zote zinahitaji mgawo zaidi katika mustakbali wa nchi hiyo

    Kiongozi wa upinzani Ethiopia: Pande zote zinahitaji mgawo zaidi katika mustakbali wa nchi hiyo

    Feb 16, 2018 14:16

    Kiongozi wa upinzani nchini Ethiopia amesema leo kuwa muungano tawala nchini humo umepoteza mamlaka yake na kwamba vyama vyote nchini humo vinapasa kushirikishwa katika kuainisha mustakbali wa nchi hiyo. Kiongozi huyo wa upinzani ameyasema hayo ikiwa imepita siku moja baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn.

  • Kujiuzulu Waziri Mkuu wa Ethiopia

    Kujiuzulu Waziri Mkuu wa Ethiopia

    Feb 16, 2018 13:11

    Hailemariam Desalegn, Waziri Mkuu wa Ethiopia amejiuzulu kufuatia malalamiko na maandamano ya mara kwa mara ya watu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia ajiuzulu baada ya machafuko ya ndani

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ajiuzulu baada ya machafuko ya ndani

    Feb 15, 2018 16:16

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amejiuzulu nyadhifa zake zote mbili kama waziri mkuu na Mwenyekiti wa chama tawala.

  • UN: Wahajiri 22 wa Ethiopia watoweka baada ya kuzamishwa baharini

    UN: Wahajiri 22 wa Ethiopia watoweka baada ya kuzamishwa baharini

    Feb 10, 2018 01:36

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri 22 raia wa Ethiopia wanahofiwa kufa maji baada ya kutupwa baharini, katika pwani ya Yemen.

  • Ethiopia yaendelea kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa

    Ethiopia yaendelea kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa

    Feb 09, 2018 14:18

    Mwanasheria Mkuu wa Ethiopia ametoa agizo la kuachiwa huru mamia ya wafungwa wa kisiasa, akiwemo mmoja wa viongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo.

  • Mapigano Ethiopia yapelekea milioni moja kuwa wakimbizi

    Mapigano Ethiopia yapelekea milioni moja kuwa wakimbizi

    Feb 06, 2018 15:06

    Mapigano baina ya makabila mawili makubwa Ethiopia yamepelekea watu zaidi ya milioni moja kukimbia makao yao.

  • Ethiopia yawaachia huru wafungwa wengine zaidi ya elfu 2 wa kisiasa

    Ethiopia yawaachia huru wafungwa wengine zaidi ya elfu 2 wa kisiasa

    Jan 27, 2018 07:41

    Serikali ya Ethiopia imeendeleza wimbi la kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, mara hii ikiwaondoa gerezani maelfu ya wafungwa waliotuhumiwa kuhusika na machafuko yaliyolikumba eneo la Oromiya kati ya 2015 na 2016.

  • Upinzani Ethiopia wataka kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Upinzani Ethiopia wataka kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Jan 25, 2018 03:00

    Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Ethiopia ametoa wito wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa kuhusu mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS