-
Kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu, sheria ya hali ya hatari kutawala Ethiopia kwa muda wa miezi sita
Feb 17, 2018 17:17Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia Siraj Fegessa amesema sheria ya hali ya hatari itaendelea kutekelezwa nchini humo kwa muda wa miezi sita kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu Hailemariam Desalign.
-
Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia
Feb 17, 2018 13:26Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya hatari nchini humo siku moja baada ya kujiuzulu Hailemariam Desalegn Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa upinzani Ethiopia: Pande zote zinahitaji mgawo zaidi katika mustakbali wa nchi hiyo
Feb 16, 2018 14:16Kiongozi wa upinzani nchini Ethiopia amesema leo kuwa muungano tawala nchini humo umepoteza mamlaka yake na kwamba vyama vyote nchini humo vinapasa kushirikishwa katika kuainisha mustakbali wa nchi hiyo. Kiongozi huyo wa upinzani ameyasema hayo ikiwa imepita siku moja baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn.
-
Kujiuzulu Waziri Mkuu wa Ethiopia
Feb 16, 2018 13:11Hailemariam Desalegn, Waziri Mkuu wa Ethiopia amejiuzulu kufuatia malalamiko na maandamano ya mara kwa mara ya watu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia ajiuzulu baada ya machafuko ya ndani
Feb 15, 2018 16:16Waziri Mkuu wa Ethiopia amejiuzulu nyadhifa zake zote mbili kama waziri mkuu na Mwenyekiti wa chama tawala.
-
UN: Wahajiri 22 wa Ethiopia watoweka baada ya kuzamishwa baharini
Feb 10, 2018 01:36Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri 22 raia wa Ethiopia wanahofiwa kufa maji baada ya kutupwa baharini, katika pwani ya Yemen.
-
Ethiopia yaendelea kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa
Feb 09, 2018 14:18Mwanasheria Mkuu wa Ethiopia ametoa agizo la kuachiwa huru mamia ya wafungwa wa kisiasa, akiwemo mmoja wa viongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo.
-
Mapigano Ethiopia yapelekea milioni moja kuwa wakimbizi
Feb 06, 2018 15:06Mapigano baina ya makabila mawili makubwa Ethiopia yamepelekea watu zaidi ya milioni moja kukimbia makao yao.
-
Ethiopia yawaachia huru wafungwa wengine zaidi ya elfu 2 wa kisiasa
Jan 27, 2018 07:41Serikali ya Ethiopia imeendeleza wimbi la kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, mara hii ikiwaondoa gerezani maelfu ya wafungwa waliotuhumiwa kuhusika na machafuko yaliyolikumba eneo la Oromiya kati ya 2015 na 2016.
-
Upinzani Ethiopia wataka kufanyika mazungumzo ya kitaifa
Jan 25, 2018 03:00Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Ethiopia ametoa wito wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa kuhusu mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.