Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Abbas Gullet: Wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini Kenya mwezi huu pekee

    Abbas Gullet: Wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini Kenya mwezi huu pekee

    Mar 17, 2018 04:22

    Katibu Mkuu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya ametangaza kuwa, wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini humo tangu kuanza mwezi huu wa Machi.

  • Wanafunzi 38 wapoteza maisha katika ajali ya basi Ethiopia

    Wanafunzi 38 wapoteza maisha katika ajali ya basi Ethiopia

    Mar 13, 2018 12:15

    Watu 38 wamepoteza maisha nchini Ethiopia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutumbukia katika mtaro mkubwa katika jimbo la Amhara kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Bunge la Somalia lapinga makubaliano ya Imarati na Somaliland

    Bunge la Somalia lapinga makubaliano ya Imarati na Somaliland

    Mar 13, 2018 04:05

    Bunge la Federali la Somalia limepiga kura kwa kishindo kupinga makubaliano ya pande tatu kati ya eneo la Somaliland, Umoja wa Falme za Kiarabu na Ethiopia kuhusu bandari ya Berbera, iliyoko katika Ghuba ya Aden.

  • Jeshi la Ethiopia laua raia 9, ladai lilidhani ni waasi

    Jeshi la Ethiopia laua raia 9, ladai lilidhani ni waasi

    Mar 12, 2018 23:14

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kuua raia tisa na kuwajeruhi wengine 12 na kudai kuwa lilidhani ni waasi walio katika eneo linalopakana na Kenya.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia nchini Ethiopia

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia nchini Ethiopia

    Mar 09, 2018 22:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amewasili Addis Ababa kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Ethiopia.

  • Wananchi wa Ethiopia wafanya mgomo kulalamikia 'hali ya hatari'

    Wananchi wa Ethiopia wafanya mgomo kulalamikia 'hali ya hatari'

    Mar 06, 2018 04:33

    Shughuli za kawaida zimelemazwa kutokana na mgomo wa wananchi wa Ethiopia katika mji mkuu Addis Ababa na miji mingine, wanaolalamikia sheria ya hali ya hatari kwa muda wa miezi sita kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu Hailemariam Desalign.

  • Ethiopia yanunua hisa za Bandari ya Berbera Somaliland

    Ethiopia yanunua hisa za Bandari ya Berbera Somaliland

    Mar 02, 2018 04:21

    Serikali ya Ethiopia imenunua asilimia 19 ya hisa za Bandari ya Berbera iliyoko katika Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland nchini Somalia.

  • Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Feb 18, 2018 23:33

    Misri imekubali ombi la Ethiopia la kuakhirisha mkutano wa pande mbili wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha linalojengwa na Uhabeshi, baada ya Adiss Ababa kutangaza sheria ya hali ya hatari.

  • Kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu, sheria ya hali ya hatari kutawala Ethiopia kwa muda wa miezi sita

    Kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu, sheria ya hali ya hatari kutawala Ethiopia kwa muda wa miezi sita

    Feb 17, 2018 13:47

    Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia Siraj Fegessa amesema sheria ya hali ya hatari itaendelea kutekelezwa nchini humo kwa muda wa miezi sita kufuatia kujiuzulu Waziri Mkuu Hailemariam Desalign.

  • Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia

    Kutangazwa hali ya hatari nchini Ethiopia

    Feb 17, 2018 09:56

    Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya hatari nchini humo siku moja baada ya kujiuzulu Hailemariam Desalegn Waziri Mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS