Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yakataa upatanishi wa Benki ya Dunia katika mgogoro wake na Misri

    Ethiopia yakataa upatanishi wa Benki ya Dunia katika mgogoro wake na Misri

    Jan 23, 2018 02:29

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa pendekezo la Misri la kuitaka Benki ya Dunia kuwa mpatanishi katika mgogoro wa ujenzi wa bwawa unaofanywa na serikali ya Addis Ababa juu ya Mto Nile.

  • Waasi 148 wajisalimisha kwa serikali nchini Ethiopia

    Waasi 148 wajisalimisha kwa serikali nchini Ethiopia

    Jan 22, 2018 04:38

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kujisalimisha waasi 148 kwa vikosi vya usalama vya nchi hiyo.

  • Mabalozi wa Afrika UN wapendekeza Trump akutane na viongozi wa Afrika Ethiopia

    Mabalozi wa Afrika UN wapendekeza Trump akutane na viongozi wa Afrika Ethiopia

    Jan 19, 2018 07:24

    Mabalozi wanaowakilisha nchi za Afrika katika Umoja wa Mataifa wamependekeza Rais Donald Trump wa Marekani akutane na viongozi wa nchi za Afrika nchini Ethiopia mwezi huu kufuatia kauli chafu aliyotoa kwamba wahamiaji wanaoingia nchini Marekani kutoka Afrika na Haiti wanatoka kwenye nchi za "shimo la kinyesi".

  • Ethiopia yamuachia huru kinara wa upinzani, wafungwa 115

    Ethiopia yamuachia huru kinara wa upinzani, wafungwa 115

    Jan 17, 2018 15:07

    Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Ethiopia ambaye alikuwa gerezani ameachiwa huru, ikiwa ni jitihada za serikali za kutekeleza ahadi yake ya kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa.

  • Ethiopia yafuta mashtaka dhidi yawafungwa wa kisiasa

    Ethiopia yafuta mashtaka dhidi yawafungwa wa kisiasa

    Jan 16, 2018 07:26

    Mwanasheria Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa serikali ya nchi hiyo imefuta mashtaka dhidi ya mmoja wa viongozi wa kambi ya upinzani na wapinzani wengine 528 wanaoshikiliwa katika magereza ya nchi hiyo.

  • Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Jan 12, 2018 13:45

    Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.

  • Ethiopia yakamata watu 107 waliohusika na ghasia

    Ethiopia yakamata watu 107 waliohusika na ghasia

    Jan 05, 2018 14:39

    Serikali ya Ethiopia imewatia mbaroni watu 107 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizotokea hivi karibuni kwenye eneo la mpaka wa mikoa ya Somali na Oromia.

  • Ethiopia kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Ethiopia kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Jan 03, 2018 15:12

    Katika hatua ya kushtukiza, Waziri Mkuu wa Ethiopia ametangaza mpango wa serikali wa kufuta mashitaka dhidi ya wafungwa wote wa kisiasa sambamba na kufunga jela ya kuogofya ambako wafungwa hao walikuwa wanazuiliwa.

  • Ethiopia yailaumu Saudia kwa kuwanyanyasa na kuwaadhibu Waethiopia waliofukuzwa nchini humo

    Ethiopia yailaumu Saudia kwa kuwanyanyasa na kuwaadhibu Waethiopia waliofukuzwa nchini humo

    Dec 28, 2017 16:24

    Serikali ya Ethiopia imeulaumu utawala wa Saudi Arabia kwa sababu ya vitendo vya unyanyasaji na vya kuwaadhibu maelfu ya raia wa Ethiopia waliofukuzwa nchini Saudia.

  • Zaidi ya 60 wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia

    Zaidi ya 60 wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia

    Dec 18, 2017 07:38

    Kwa akali watu 61 wameuawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila katika eneo la Oromiya nchini Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS