Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yatuma maelfu ya askari Somali kukabiliana na magaidi wa Al Shabab

    Ethiopia yatuma maelfu ya askari Somali kukabiliana na magaidi wa Al Shabab

    Nov 03, 2017 14:27

    Ethiopia imetuma maelfu ya askari katika nchi jirani ya Somalia kusaidia katika jitihada za kieneo za kupambana na kundi la magaidi wakufurishaji wa Al Shabab ambao wamekuwa wakitekeleza hujuma nchini humo na katika nchi jirani.

  • Mamia ya watu watiwa mbaroni kwa kuhusika na machafuko nchini Ethiopia

    Mamia ya watu watiwa mbaroni kwa kuhusika na machafuko nchini Ethiopia

    Oct 29, 2017 15:52

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kutiwa mbaroni mamia ya watu kwa kuhusika na machafuko yaliyotokea kwenye eneo la Oromia la kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Polisi ya Ethiopia yaua watu 5 katika eneo la Oromiya

    Polisi ya Ethiopia yaua watu 5 katika eneo la Oromiya

    Oct 27, 2017 04:10

    Watu wasiopungua 5 wameuawa baada ya polisi ya Ethiopia kuwafyatulia risasi waandamanaji katika mji mmoja wa eneo lenye ghasia na machafuko ya mara kwa mara la Oromiya.

  • Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Oct 25, 2017 04:03

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn amesema nchi yake itaendelea kushirikiana na Somalia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Spika wa Bunge Ethiopia ajiuzulu, apinga sera za serikali dhidi ya Oromo

    Spika wa Bunge Ethiopia ajiuzulu, apinga sera za serikali dhidi ya Oromo

    Oct 09, 2017 03:47

    Spika wa Bunge la Ethiopia amejiuzulu kwa kile kinachotajwa kuwa ni kuonesha malalamiko yake dhidi ya hatua zilizochukuliwa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya watu wa kabila la Oromo.

  • Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu

    Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu

    Oct 02, 2017 14:28

    Maelfu ya raia wa Ethiopia wameandamana katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu na kupiga nara kuilaani serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu Hailemariam Desalegn.

  • Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Sep 26, 2017 07:59

    Serikali ya Ethiopia imesema mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyozuka mapema mwezi huu kusini na mashariki mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia

    Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia

    Sep 19, 2017 02:38

    Watu zaidi ya 50 wameuawa katika mapigano ya wiki moja katika maeneo la Oromiya na Somali nchini Ethiopia huku wengine 50,000 wakilazimika kukimbia makazi yao.

  • UN: Ethiopia inakabiliwa na Janga la njaa linaloweza kuongezeka

    UN: Ethiopia inakabiliwa na Janga la njaa linaloweza kuongezeka

    Sep 06, 2017 03:42

    Uwekezaji wa kina unahitajika ili wakazi wanaokabiliwa na njaa kutokana na ukame uliokithiri katika jimbo la Somali nchini Ethiopia waweze kustahimili ukame wa mara kwa mara unaosababishwa na athari za mabadiliko ya tabianchi.

  • Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia

    Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia

    Aug 11, 2017 16:14

    Mapigano makali yameripotiwa kujiri leo katika mji wa Pagak nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia wakati waasi walipoanzisha mashambulizi dhidi ya askari jeshi wa serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS