-
Mabalozi wa Afrika UN wapendekeza Trump akutane na viongozi wa Afrika Ethiopia
Jan 19, 2018 03:54Mabalozi wanaowakilisha nchi za Afrika katika Umoja wa Mataifa wamependekeza Rais Donald Trump wa Marekani akutane na viongozi wa nchi za Afrika nchini Ethiopia mwezi huu kufuatia kauli chafu aliyotoa kwamba wahamiaji wanaoingia nchini Marekani kutoka Afrika na Haiti wanatoka kwenye nchi za "shimo la kinyesi".
-
Ethiopia yamuachia huru kinara wa upinzani, wafungwa 115
Jan 17, 2018 11:37Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Ethiopia ambaye alikuwa gerezani ameachiwa huru, ikiwa ni jitihada za serikali za kutekeleza ahadi yake ya kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa.
-
Ethiopia yafuta mashtaka dhidi yawafungwa wa kisiasa
Jan 16, 2018 03:56Mwanasheria Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa serikali ya nchi hiyo imefuta mashtaka dhidi ya mmoja wa viongozi wa kambi ya upinzani na wapinzani wengine 528 wanaoshikiliwa katika magereza ya nchi hiyo.
-
Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea
Jan 12, 2018 10:15Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.
-
Ethiopia yakamata watu 107 waliohusika na ghasia
Jan 05, 2018 11:09Serikali ya Ethiopia imewatia mbaroni watu 107 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizotokea hivi karibuni kwenye eneo la mpaka wa mikoa ya Somali na Oromia.
-
Ethiopia kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa
Jan 03, 2018 11:42Katika hatua ya kushtukiza, Waziri Mkuu wa Ethiopia ametangaza mpango wa serikali wa kufuta mashitaka dhidi ya wafungwa wote wa kisiasa sambamba na kufunga jela ya kuogofya ambako wafungwa hao walikuwa wanazuiliwa.
-
Ethiopia yailaumu Saudia kwa kuwanyanyasa na kuwaadhibu Waethiopia waliofukuzwa nchini humo
Dec 28, 2017 12:54Serikali ya Ethiopia imeulaumu utawala wa Saudi Arabia kwa sababu ya vitendo vya unyanyasaji na vya kuwaadhibu maelfu ya raia wa Ethiopia waliofukuzwa nchini Saudia.
-
Zaidi ya 60 wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia
Dec 18, 2017 04:08Kwa akali watu 61 wameuawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila katika eneo la Oromiya nchini Ethiopia.
-
Ethiopia yatuma maelfu ya askari Somali kukabiliana na magaidi wa Al Shabab
Nov 03, 2017 10:57Ethiopia imetuma maelfu ya askari katika nchi jirani ya Somalia kusaidia katika jitihada za kieneo za kupambana na kundi la magaidi wakufurishaji wa Al Shabab ambao wamekuwa wakitekeleza hujuma nchini humo na katika nchi jirani.
-
Mamia ya watu watiwa mbaroni kwa kuhusika na machafuko nchini Ethiopia
Oct 29, 2017 12:22Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kutiwa mbaroni mamia ya watu kwa kuhusika na machafuko yaliyotokea kwenye eneo la Oromia la kusini magharibi mwa nchi hiyo.