-
UN: Ethiopia inakabiliwa na Janga la njaa linaloweza kuongezeka
Sep 06, 2017 03:42Uwekezaji wa kina unahitajika ili wakazi wanaokabiliwa na njaa kutokana na ukame uliokithiri katika jimbo la Somali nchini Ethiopia waweze kustahimili ukame wa mara kwa mara unaosababishwa na athari za mabadiliko ya tabianchi.
-
Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia
Aug 11, 2017 16:14Mapigano makali yameripotiwa kujiri leo katika mji wa Pagak nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia wakati waasi walipoanzisha mashambulizi dhidi ya askari jeshi wa serikali.
-
Bunge la Ethiopia laondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa nchini humo
Aug 04, 2017 15:00Bunge la Ethiopia leo limeondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa kwa miezi kadhaa sasa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi
Aug 02, 2017 14:21Utawala wa Aal Saud umewafukuza maelfu ya wafanyakazi za vibarua raia wa Ethiopia kutokana na matatizo ya kifedha yanayoikabili nchi hiyo.
-
Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi
Jul 18, 2017 03:44Mahakama Kuu ya Kifederali ya Ethiopia imetangaza kuwa, raia 15 wa nchi hiyo wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi vilivyokuwa na lengo la kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.
-
Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia
Jul 02, 2017 15:18Shirika la madaktari wasio na mipaka wameonya kuhusu hali mbaya ya watoto wadogo mashariki mwa Ethiopia.
-
Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula
Jun 23, 2017 08:07Mashirika ya Kimataifa yametahadharisha kuwa, Ethiopia itaishiwa na misaada ya chakula ya dharura katika kipindi cha mwezi ujao, hali ambayo itawasibu karibu watu milioni nane walioathiriwa na ukame.
-
Ethiopia kuishiwa na chakula cha misaada
Jun 10, 2017 15:57Serikali ya Ethiopia na makundi ya misaada ya kibinadamu yametangaza kuwa, nchi hiyo itaishiwa na chakula cha misaada kwa ajili ya watu milioni 7.8 walioathiriwa na ukame mkubwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu.
-
Kuendelea ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani nchini Ethiopia
May 29, 2017 03:11Ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani umeshuhudiwa tena katika eneo la Oromia, Ethiopia baada ya kutangazwa hali ya hatari na serikali na hivyo kuzusha wasi wasi na wahka kwa wakazi wa eneo hilo.
-
Polisi ya Ethiopia yatumia nguvu kuwatawanya wapinzani eneo la Oromia
May 28, 2017 03:44Vyombo vya habari nchini Ethiopia vimeripoti kwamba, polisi ya nchi hiyo imetumia nguvu dhidi ya wapinzani eneo la Oromia ambao walikuwa wanaandamana licha ya kutangazwa hali ya hatari na hivyo kuibua wasi wasi eneo hilo.