Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi

    Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi

    Jul 17, 2017 23:14

    Mahakama Kuu ya Kifederali ya Ethiopia imetangaza kuwa, raia 15 wa nchi hiyo wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi vilivyokuwa na lengo la kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.

  • Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia

    Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia

    Jul 02, 2017 10:48

    Shirika la madaktari wasio na mipaka wameonya kuhusu hali mbaya ya watoto wadogo mashariki mwa Ethiopia.

  • Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula

    Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula

    Jun 23, 2017 03:37

    Mashirika ya Kimataifa yametahadharisha kuwa, Ethiopia itaishiwa na misaada ya chakula ya dharura katika kipindi cha mwezi ujao, hali ambayo itawasibu karibu watu milioni nane walioathiriwa na ukame.

  • Ethiopia kuishiwa na chakula cha misaada

    Ethiopia kuishiwa na chakula cha misaada

    Jun 10, 2017 11:27

    Serikali ya Ethiopia na makundi ya misaada ya kibinadamu yametangaza kuwa, nchi hiyo itaishiwa na chakula cha misaada kwa ajili ya watu milioni 7.8 walioathiriwa na ukame mkubwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu.

  • Kuendelea ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani nchini Ethiopia

    Kuendelea ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani nchini Ethiopia

    May 28, 2017 22:41

    Ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani umeshuhudiwa tena katika eneo la Oromia, Ethiopia baada ya kutangazwa hali ya hatari na serikali na hivyo kuzusha wasi wasi na wahka kwa wakazi wa eneo hilo.

  • Polisi ya Ethiopia yatumia nguvu kuwatawanya wapinzani eneo la Oromia

    Polisi ya Ethiopia yatumia nguvu kuwatawanya wapinzani eneo la Oromia

    May 27, 2017 23:14

    Vyombo vya habari nchini Ethiopia vimeripoti kwamba, polisi ya nchi hiyo imetumia nguvu dhidi ya wapinzani eneo la Oromia ambao walikuwa wanaandamana licha ya kutangazwa hali ya hatari na hivyo kuibua wasi wasi eneo hilo.

  • Iran na Ethiopia zasisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wao

    Iran na Ethiopia zasisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wao

    May 10, 2017 23:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ethiopia zimesisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano baina yao katika nyanja mbalimbali.

  • Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri

    Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri

    May 08, 2017 23:50

    Vikosi vya mpakani vya majeshi ya Sudan na Ethiopia katika mpaka wa pamoja na Misri vimewekwa katika hali ya tahadhari kwa lengo la kuzima shambulio linaloweza kufanywa na nchi hiyo dhidi ya bwana la Ethiopia la Al-Nahdhah (Renaissance).

  • Umoja wa Mataifa waitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru wapinzani

    Umoja wa Mataifa waitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru wapinzani

    May 04, 2017 23:34

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru watu ambao walitiwa nguvuni katika maandamano dhidi ya serikali hiyo kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.

  • Jumuiya za haki za binadamu: Mamia waliuawa katika maandamano ya mwaka jana Ethiopia

    Jumuiya za haki za binadamu: Mamia waliuawa katika maandamano ya mwaka jana Ethiopia

    Apr 20, 2017 00:06

    Ofisi ya Haki za Binadamu nchini Ethiopia imetangaza kuwa, raia 669 waliuawa katika maandamano yaliyofanyika mwaka jana dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS