-
Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi
Jul 17, 2017 23:14Mahakama Kuu ya Kifederali ya Ethiopia imetangaza kuwa, raia 15 wa nchi hiyo wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi vilivyokuwa na lengo la kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.
-
Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia
Jul 02, 2017 10:48Shirika la madaktari wasio na mipaka wameonya kuhusu hali mbaya ya watoto wadogo mashariki mwa Ethiopia.
-
Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula
Jun 23, 2017 03:37Mashirika ya Kimataifa yametahadharisha kuwa, Ethiopia itaishiwa na misaada ya chakula ya dharura katika kipindi cha mwezi ujao, hali ambayo itawasibu karibu watu milioni nane walioathiriwa na ukame.
-
Ethiopia kuishiwa na chakula cha misaada
Jun 10, 2017 11:27Serikali ya Ethiopia na makundi ya misaada ya kibinadamu yametangaza kuwa, nchi hiyo itaishiwa na chakula cha misaada kwa ajili ya watu milioni 7.8 walioathiriwa na ukame mkubwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu.
-
Kuendelea ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani nchini Ethiopia
May 28, 2017 22:41Ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani umeshuhudiwa tena katika eneo la Oromia, Ethiopia baada ya kutangazwa hali ya hatari na serikali na hivyo kuzusha wasi wasi na wahka kwa wakazi wa eneo hilo.
-
Polisi ya Ethiopia yatumia nguvu kuwatawanya wapinzani eneo la Oromia
May 27, 2017 23:14Vyombo vya habari nchini Ethiopia vimeripoti kwamba, polisi ya nchi hiyo imetumia nguvu dhidi ya wapinzani eneo la Oromia ambao walikuwa wanaandamana licha ya kutangazwa hali ya hatari na hivyo kuibua wasi wasi eneo hilo.
-
Iran na Ethiopia zasisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wao
May 10, 2017 23:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ethiopia zimesisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano baina yao katika nyanja mbalimbali.
-
Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri
May 08, 2017 23:50Vikosi vya mpakani vya majeshi ya Sudan na Ethiopia katika mpaka wa pamoja na Misri vimewekwa katika hali ya tahadhari kwa lengo la kuzima shambulio linaloweza kufanywa na nchi hiyo dhidi ya bwana la Ethiopia la Al-Nahdhah (Renaissance).
-
Umoja wa Mataifa waitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru wapinzani
May 04, 2017 23:34Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru watu ambao walitiwa nguvuni katika maandamano dhidi ya serikali hiyo kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.
-
Jumuiya za haki za binadamu: Mamia waliuawa katika maandamano ya mwaka jana Ethiopia
Apr 20, 2017 00:06Ofisi ya Haki za Binadamu nchini Ethiopia imetangaza kuwa, raia 669 waliuawa katika maandamano yaliyofanyika mwaka jana dhidi ya serikali ya nchi hiyo.