Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Apr 18, 2017 21:59

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa wito wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mauaji ya mamia ya watu wakati wa maandamano ya miezi kadhaa dhidi ya serikali ya Addis Ababa nchini humo.

  • Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia

    Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia

    Apr 14, 2017 11:42

    Katibu Mkuu wa Arab League Ahmed Aboul Gheit amesema kuwa, ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia kuhusiana na tofauti za nchi mbili juu ya ujenzi wa bwawa la al-Nahdha (Renaissance) katika mto Nile.

  • Ethiopia kuipa Tanzania umeme wa bei nafuu, kutumia bandari ya Dar es Salaam

    Ethiopia kuipa Tanzania umeme wa bei nafuu, kutumia bandari ya Dar es Salaam

    Apr 02, 2017 03:44

    Tanzania na Ethiopia zimetiliana saini mikataba kadhaa ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.

  • Ethiopia yarefusha muda wa sheria ya hali ya hatari kwa miezi 4

    Ethiopia yarefusha muda wa sheria ya hali ya hatari kwa miezi 4

    Mar 30, 2017 11:15

    Bunge la Ethiopia limetangaza habari ya kurefushwa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa muda wa miezi minne zaidi, wiki mbili baada ya serikali kufuta sheria hiyo.

  • Idadi ya waliofariki dunia katika maporomoko ya taka Ethiopia yafikia 113

    Idadi ya waliofariki dunia katika maporomoko ya taka Ethiopia yafikia 113

    Mar 16, 2017 04:22

    Nchini Ethiopia, idadi ya vifo vilivyosababiswa na maporomoko ya taka katika eneo la kutupa taka viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa imefikia 113

  • Amnesty yailaumu serikali kwa maporomoko ya taka Ethiopia, waliokufa wakifikia 65

    Amnesty yailaumu serikali kwa maporomoko ya taka Ethiopia, waliokufa wakifikia 65

    Mar 14, 2017 11:25

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema serikali ya Ethiopia inabeba dhima ya vifo vya makumi ya watu katika mkasa wa maporomoko ya udongo katika eneo la kutupa taka viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa.

  •  48 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo jalalani Ethiopia

    48 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo jalalani Ethiopia

    Mar 13, 2017 11:00

    Watu wasiopungua 48 wakiwemo watoto 15 wamefariki dunia katika maporomoko ya udongo yaliyotokea kwenye dampo kubwa la takataka nje kidogo ya mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa. Hayo yameelezwa na msemaji wa Halmashauri ya mji wa Addis Ababa.

  • UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia

    UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia

    Jan 29, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.

  • Umoja wa Afrika wasisitizia kuimarishwa demokrasia na utawala bora barani humo

    Umoja wa Afrika wasisitizia kuimarishwa demokrasia na utawala bora barani humo

    Jan 26, 2017 04:09

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Bi, Nkosozana Dlamini Zuma ametaka kuimarishwa demokrasia na kuchungwa haki za binaadamu barani Afrika.

  • Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran

    Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran

    Jan 13, 2017 04:02

    Rais Mulatu Teshome wa Ethiopia amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Addis Ababa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS