-
Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake
Apr 18, 2017 21:59Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa wito wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mauaji ya mamia ya watu wakati wa maandamano ya miezi kadhaa dhidi ya serikali ya Addis Ababa nchini humo.
-
Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia
Apr 14, 2017 11:42Katibu Mkuu wa Arab League Ahmed Aboul Gheit amesema kuwa, ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia kuhusiana na tofauti za nchi mbili juu ya ujenzi wa bwawa la al-Nahdha (Renaissance) katika mto Nile.
-
Ethiopia kuipa Tanzania umeme wa bei nafuu, kutumia bandari ya Dar es Salaam
Apr 02, 2017 03:44Tanzania na Ethiopia zimetiliana saini mikataba kadhaa ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.
-
Ethiopia yarefusha muda wa sheria ya hali ya hatari kwa miezi 4
Mar 30, 2017 11:15Bunge la Ethiopia limetangaza habari ya kurefushwa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa muda wa miezi minne zaidi, wiki mbili baada ya serikali kufuta sheria hiyo.
-
Idadi ya waliofariki dunia katika maporomoko ya taka Ethiopia yafikia 113
Mar 16, 2017 04:22Nchini Ethiopia, idadi ya vifo vilivyosababiswa na maporomoko ya taka katika eneo la kutupa taka viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa imefikia 113
-
Amnesty yailaumu serikali kwa maporomoko ya taka Ethiopia, waliokufa wakifikia 65
Mar 14, 2017 11:25Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema serikali ya Ethiopia inabeba dhima ya vifo vya makumi ya watu katika mkasa wa maporomoko ya udongo katika eneo la kutupa taka viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa.
-
48 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo jalalani Ethiopia
Mar 13, 2017 11:00Watu wasiopungua 48 wakiwemo watoto 15 wamefariki dunia katika maporomoko ya udongo yaliyotokea kwenye dampo kubwa la takataka nje kidogo ya mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa. Hayo yameelezwa na msemaji wa Halmashauri ya mji wa Addis Ababa.
-
UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia
Jan 29, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.
-
Umoja wa Afrika wasisitizia kuimarishwa demokrasia na utawala bora barani humo
Jan 26, 2017 04:09Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Bi, Nkosozana Dlamini Zuma ametaka kuimarishwa demokrasia na kuchungwa haki za binaadamu barani Afrika.
-
Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran
Jan 13, 2017 04:02Rais Mulatu Teshome wa Ethiopia amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Addis Ababa.