-
Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia
Oct 08, 2016 09:16Malalamiko ya wananchi na maandamano ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya sasa ya Ethiopia yangali yanaendelea.
-
Waandamanaji wenye hasira washambulia viwanda vya makampuni ya kigeni nchini Ethiopia
Oct 08, 2016 00:34Wananchi wenye hasira wamebomoa na kuharibu makumi ya viwanda vinavyomilikiwa na makampuni ya kigeni, mashamba ya maua pamoja na kuchoma moto magari kadhaa kulalamikia kile wanachoeleza uporaji ardhi zao unaofanywa na serikali nchini Ethiopia.
-
Viongozi wawili wa upinzani nchini Ethiopia watiwa nguvuni
Sep 12, 2016 23:45Duru za kuaminika zimeripoti kuwa viongozi wawili wa upinzani nchini Ethiopia wametiwa nguvuni.
-
Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu
Sep 12, 2016 03:34Ethiopia imetangaza kuwaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu ambao walikuwa wanashikiliwa kwa kupinga uingiliaji wa serikali katika mambo yao ya kidini.