Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Rais Rouhani: Marekani na Uzayuni ndio chanzo kikuu cha ugaidi katika eneo

    Rais Rouhani: Marekani na Uzayuni ndio chanzo kikuu cha ugaidi katika eneo

    Feb 14, 2019 15:38

    Rais Hassan Rouhani amesema: Chanzo kikuu cha ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati ni Marekani na Uzayuni; na kwa masikitiko, baadhi ya nchi za eneo zenye utajiri wa mafuta nazo pia zinawafadhili kifedha magaidi.

  • Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Jan 19, 2019 03:01

    Harakati ya Wananchi ya al Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq imefanya shambulizi dhidi ya ngome na maeneo ya magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Deir ez-Zor nchini Syria, ambapo kwa akali magaidi 15 wameangamizwa.

  • Magaidi 14 wauawa kaskazini mwa Misri

    Magaidi 14 wauawa kaskazini mwa Misri

    Dec 24, 2018 08:01

    Maafisa usalama wa Misri wametangaza habari ya kuuawa magaidi 14 katika mkoa wa Sinai Kaskazini wa kaskazini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magaidi katika nchi za Iraq na Syria

    Karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magaidi katika nchi za Iraq na Syria

    Dec 22, 2018 03:01

    Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimetangaza kuwa, karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magenge ya kigaidi katika nchi za Iraq na Syria.

  • Jeshi la anga la Iraq lafanya oparesheni dhidi ya Daesh katika ardhi ya Syria

    Jeshi la anga la Iraq lafanya oparesheni dhidi ya Daesh katika ardhi ya Syria

    Dec 16, 2018 15:18

    Wanamgambo kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa katika shambulio la anga la jeshi la Iraq lililolenga mkusanyiko wa viongozi wa Daesh katika eneo la al Susah mkoani Deir Zor nchini Syria.

  • Timu nyingine ya magaidi wa Daesh yasambaratishwa nchini Iraq

    Timu nyingine ya magaidi wa Daesh yasambaratishwa nchini Iraq

    Dec 08, 2018 15:34

    Vikosi vya ulinzi vya Iraq vimetangaza habari ya kusambaratishwa timu nyingine ya magaidi huko magharibi mwa mji wa al Ramadi, makao makuuu ya mkoa wa al Anbar.

  • Ugaidi na kukaririwa njama zilizofeli za waungaji mkono ugaidi

    Ugaidi na kukaririwa njama zilizofeli za waungaji mkono ugaidi

    Dec 07, 2018 12:20

    Nchi za Magharibi na baadhi ya tawala za kiimla na vibaraka wao katika eneo la Mashariki ya Kati tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran zimekuwa zikiyaunga mkono na kuyasaidia makundi ya kigaidi kwa shabaha ya kutoa pigo kwa taifa la Iran.

  • Magaidi wa Daesh waendelea kuangamizwa kaskazini mwa Iraq

    Magaidi wa Daesh waendelea kuangamizwa kaskazini mwa Iraq

    Nov 22, 2018 03:21

    Magaidi wasiopungua 15 wa ISIS wameangamizwa kwenye operesheni ya jeshi la Iraq katika mkoa wa Salahuddin wa kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Misri laua magaidi 13 katikati mwa nchi hiyo

    Jeshi la Misri laua magaidi 13 katikati mwa nchi hiyo

    Oct 28, 2018 04:41

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kwamba maafisa wa usalama wa nchi hiyo wamewaua wanachama 13 wa kundi moja la kigaidi katikati ya nchi.

  • Magaidi wahamishia shehena ya mada za kemikali katika mkoa wa Idlib Syria

    Magaidi wahamishia shehena ya mada za kemikali katika mkoa wa Idlib Syria

    Oct 21, 2018 14:14

    Kundi la kigaidi la Tahrir al Sham limehamishia katika eneo la Jasr al Shughur mkoani Idlib huko Syria shehena ya mada za kemikali zenye gesi za Chlorine na Sarine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS