Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Baada ya kufurushwa magaidi, wakimbizi 59 elfu warejea makwao Ghouta Mashariki nchini Syria

    Baada ya kufurushwa magaidi, wakimbizi 59 elfu warejea makwao Ghouta Mashariki nchini Syria

    Apr 16, 2018 08:03

    Kituo cha Russia cha kusimamia mapatano nchini Syria kimesema kuwa, zaidi ya watu 59 elfu wamerejea katika maeneo yao huko Ghouta Mashariki baada ya kutimuliwa magaidi katika eneo hilo.

  • Gazeti la Haaretz la Kizayuni laitaja Israel kuwa ndio gaidi na sio vijana wa Palestina

    Gazeti la Haaretz la Kizayuni laitaja Israel kuwa ndio gaidi na sio vijana wa Palestina

    Apr 10, 2018 02:49

    Gazeti mashuhuri la utawala haramu wa Kizayuni la Haaretz, sambamba na kukosoa siasa mbovu za Tel Abviv dhidi ya raia wa Palestina limeandika kuwa, Israel ndio gaidi na sio vijana wa Kipalestina.

  • Karibu matukio 1,000 ya hujuma dhidi ya Waislamu yameorodheshwa Ujerumani mwaka 2017

    Karibu matukio 1,000 ya hujuma dhidi ya Waislamu yameorodheshwa Ujerumani mwaka 2017

    Mar 03, 2018 07:56

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imetangaza kuwa matukio yasiyopungua 950 ya hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu na taasisi za Kiislamu yaliorodheshwa nchini humo mwaka uliopita wa 2017.

  • Kamanda wa al-Qaeda Maghreb auawa nchini Tunisia

    Kamanda wa al-Qaeda Maghreb auawa nchini Tunisia

    Jan 21, 2018 07:39

    Maafisa usalama nchini Tunisia wamefanikiwa kumuangamiza kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la al-Qaeda katika eneo la magharibi mwa Afrika AQIM.

  • Magaidi kadhaa waangamizwa al Arish, Misri

    Magaidi kadhaa waangamizwa al Arish, Misri

    Jan 08, 2018 15:42

    Duru za kiusalama za Misri zimetangaza habari ya kuuawa magaidi kadhaa katika opereseheni iliyofanywa na jeshi la nchi hiyo mashariki mwa mji wa al Arish, makao makuu wa jimbo la Sinai Kaskazini.

  • Watetezi wa haki za binadamu Misri walaani kunyongwa washukiwa wa ugaidi

    Watetezi wa haki za binadamu Misri walaani kunyongwa washukiwa wa ugaidi

    Dec 28, 2017 07:50

    Mashirika saba ya kutetea haki za binadamu nchini Misri yamekosoa vikali hatua ya Misri kuwanyonga watu 15 waliopatikana na hatia ya kufanya mashambulizi ya kigaidi yaliyoua askari usalama huko kaskazini mwa Peninsula ya Sinai.

  • Putini afichua ushirikiano wa Marekani na magaidi huko Syria

    Putini afichua ushirikiano wa Marekani na magaidi huko Syria

    Dec 16, 2017 03:45

    Rais wa Russia amefichua kuwa wanajeshi wa Marekani walioko nchini Syria walikuwa wakiwaunga mkono na kuwapatia silaha magaidi na ndio waliokuwa wakikwamisha kusambaratishwa magaidi hao.

  • Zarif: Ni maskhara kuona Saudi Arabia ikiituhumu Iran kuwa inasababisha machafuko

    Zarif: Ni maskhara kuona Saudi Arabia ikiituhumu Iran kuwa inasababisha machafuko

    Nov 20, 2017 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ni maskhara kwa Saudia Arabia kuituhumu Iran kuwa inasababisha machafuko katika hali ambayo nchi hiyo ndiyo inayowachochea magaidi na iliyoanzisha vita huko Yemen.

  • Magaidi wawili watiwa mbaroni kaskazini mwa Morocco

    Magaidi wawili watiwa mbaroni kaskazini mwa Morocco

    Nov 11, 2017 07:23

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Morocco imetangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi wawili kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Waziri wa zamani wa Ufaransa aitwa mahakamani kwa kushirikiana na magaidi Syria

    Waziri wa zamani wa Ufaransa aitwa mahakamani kwa kushirikiana na magaidi Syria

    Oct 16, 2017 02:33

    Habari kutoka nchini Ufaransa zinasema kuwa, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo ya Ulaya ameitwa mahakamani kujibu tuhuma za kushirikiana na magenge ya kigaidi nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS