-
Gambia kuunda tume ya ukweli na maridhiano
Mar 24, 2017 04:31Serikali ya Gambia imetangaza kuwa itaunda tume ya ukweli na maridhiano na kuwalipa fidia waathirika wa jinai zilizofanywa na serikali ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh inayotuhumiwa kuwatesa na kuwaua watu walioshukiwa kuwa wapinzani wa serikali hiyo.
-
Wanajeshi waliopanga mapinduzi dhidi ya Jammeh wajiunga na jeshi la Gambia
Mar 05, 2017 16:27Rais Adama Barrow wa Gambia amekubali kujiunga na jeshi wanajeshi wa zamani waliotuhumiwa kupanga mapinduzi dhidi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh.
-
Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall
Mar 03, 2017 06:35Rais Adama Barrow wa Senegal yuko nchini Senegal katika ziara rasmi ya kikazi iliyoanza jana Alkhamisi.
-
UN: Tutashirikiana na Gambia kuwashughulikia waliotenda jinai enzi za utawala wa Jammeh
Mar 02, 2017 07:52Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, uko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Gambia katika masuala ya kimahakama na haki za binadamu.
-
Rais Barrow amfuta kazi mkuu wa jeshi Gambia na makanda 10
Feb 28, 2017 07:24Rais Adama Barrow wa Gambia amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo, Jenerali Ousman Badjie, pamoja na makamanda wengine 10 wa ngazi za juu wa vikosi vya usalama nchini humo.
-
Usafishaji idara ya usalama nchini Gambia, hatua ya kwanza ya Rais Adama Barrow
Feb 23, 2017 03:04Sambamba na kuanza rasmi kazi yake, Rais mpya wa Gambia ametekeleza hatua muhimu katika kuimarisha usalama wa nchi hiyo.
-
Maelfu ya Wagambia wajitokeza kwa wingi kumuunga mkono Rais Barrow
Feb 19, 2017 02:42Maelfu ya raia wa Gambia wamejitokeza kwa wingi katika kongamano kubwa lililofanyika jana katika mji mkuu wa nchi hiyo Banjul katika kumuunga mkono Rais Adama Barrow wa nchi hiyo.
-
Gambia yatengua uamuzi wa kujiondoa mahakama ya ICC
Feb 15, 2017 03:34Gambia imetengua uamuzi wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula
Feb 10, 2017 04:26Neven Mimica, Kamishna wa Ushirikiano na Ustawi wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo utaisaidia serikali ya Gambia msaada wa kiasi cha Euro milioni 75.
-
Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi
Feb 09, 2017 07:23Vikosi vya kieneo vya mgharibi mwa Afrika vilivyotumwa nchini Gambia kuhakikisha usalama katika mchakato wa kushika madaraka serikali mpya ya nchi hiyo, vitasalia nchini humo kwa muda wa miezi mitatu zaidi.