Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Yemen wafanya maandamano ya mamilioni ya watu kuwaunga mkono Wapalestina

    Yemen wafanya maandamano ya mamilioni ya watu kuwaunga mkono Wapalestina

    Aug 31, 2024 00:45

    Kwa mara nyingine tena mamilioni ya wananchi wa Yemen wamemiminika barabarani kulaani jinai za utawala wa Kizayuni na kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza.

  • UN: Mripuko mpya wa Kipindupindu Sudan unahatarisha maisha ya mamia ya maelfu ya wakimbizi

    UN: Mripuko mpya wa Kipindupindu Sudan unahatarisha maisha ya mamia ya maelfu ya wakimbizi

    Aug 24, 2024 06:24

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limeeleza kupitia mwakilishi wake nchini Sudan Kristine Hambrouck kwamba mripuko mpya wa kipindupindu nchini Sudan, ambao ni wimbi la pili tangu vilipoanza vita miezi kumi na sita iliyopita, unahatarisha maisha ya jamii zilizolazimika kuyahama makazi yao nchini kote.

  • Askari 695 wa Israel wameangamizwa, 4,357 wamejeruhiwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza

    Askari 695 wa Israel wameangamizwa, 4,357 wamejeruhiwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza

    Aug 23, 2024 23:04

    Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa askari 695 wa utawala huo wameangamizwa tangu jeshi la utawala huo katili lilipoanzisha vita dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza na kupambana na vikosi vya Muqawama wa Palestina.

  • Ombi la Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Mediterranean la kuwekewa vikwazo Israel

    Ombi la Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Mediterranean la kuwekewa vikwazo Israel

    Aug 22, 2024 07:16

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Ulaya na Mediterania (The Euro-Mediterranean Human Rights Monitor-Euro-Med-) limeonya katika taarifa yake siku ya Jumatano kuhusu amri za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwataka Wapalestina wahame katika maeneo tofauti ya Gaza na kuzitaka nchi za dunia ziuwekee vikwazo utawala huo ghasibu na zisiuunge mkono.

  • Takwa la Waislamu wa Marekani kwa Biden la kulaani ugaidi wa kiserikali wa Israel

    Takwa la Waislamu wa Marekani kwa Biden la kulaani ugaidi wa kiserikali wa Israel

    Aug 11, 2024 10:10

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Taasisi za kimataifa ni washirika katika jinai za utawala wa Kizayuni

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Taasisi za kimataifa ni washirika katika jinai za utawala wa Kizayuni

    Aug 11, 2024 07:57

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taasisi za kimataifa zinashiriki katika jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Maandamano ya kulaani jinai za Israel yaendelea kufanyika nchini Morocco

    Maandamano ya kulaani jinai za Israel yaendelea kufanyika nchini Morocco

    Aug 09, 2024 23:02

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la Israel huko Gaza.

  • Ripoti: Israel imeiba zaidi ya miili 2,000 kutoka kwenye makaburi ya Gaza

    Ripoti: Israel imeiba zaidi ya miili 2,000 kutoka kwenye makaburi ya Gaza

    Aug 06, 2024 08:46

    Vikosi vya jeshi la Israel vimeiba zaidi ya miili 2,000 iliyofukuliwa kutoka kwenye makaburi mbalimbali katika ukanda wa Gaza, huku ripoti kutoka Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza zikisema baadhi ya maiti zimerudishwa baada ya majeshi ya Israel "kuvunjia heshima miili" ya marehemu hao.

  • Jumuiya ya Wayahudi wa Iran yataka kulipiza kisasi baada ya Israel kumuua Haniyeh

    Jumuiya ya Wayahudi wa Iran yataka kulipiza kisasi baada ya Israel kumuua Haniyeh

    Aug 03, 2024 22:53

    Jumuiya ya Wayahudi wa Iran imelaani vikali mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniyeh akiwa ugenini mjini Tehran, ikitoa wito wa kulipiza kisasi dhidi ya mauaji hayo.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Leo hii, bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Gaza

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Leo hii, bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Gaza

    Jul 30, 2024 08:19

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS