Jan 13, 2023 11:38
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, visiwa vitatu vitabaki kuwa vya Iran milele na hakuna mtu yeyote aliye na dhamira ya kuingiza mkono wake humo, kwani hataweza kufanya chochote, kama ambavyo hajaweza kufanya hivyo hadi sasa.