-
Wairani walalamikia ujumbe wa Twitter wa rais wa FIFA
Jan 08, 2023 05:34Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) amekosolewa vikali na watumizi wa mitandao ya kijamii wa Iran kwa kutumia neno bandia wakati wa kutaja Ghuba ya Uajemi.
-
Tehran yaiasa China iheshimu visiwa vya Ghuba ya Uajemi, milki ya Iran
Dec 12, 2022 10:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameiasa China iheshimu mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran juu ya visiwa vyake vitatu vya eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Meli ya kigeni yakamatwa Ghuba ya Uajemi ikisafirisha kimagendo lita milioni 11 za mafuta
Nov 01, 2022 02:44Afisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeinasa meli ya kigeni ya mizigo iliyokuwa imebeba mamilioni ya lita za mafuta yanayosafirishwa kimagendo katika maji ya Ghuba ya Uajemi na kuwakamata pia wafanyakazi wote wa meli hiyo.
-
Waziri wa Ulinzi asisitiza kuongezwa uwezo wa jeshi la majini la Iran kulingana na ukubwa wa vitisho
Jun 19, 2022 05:45Akiwa ziarani katika mkoa wa Hormozgan kusini mwa Iran, Brigedia Jenerali Mohammad Reza Ashtiani, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametembelea miradi ya majini ya wizara hiyo huko Bandar Abbas hususan utengenezaji wa manowari, meli za kawaida za kivita na nyambizi na kusema kuwa kuimarishwa nguvu katika pande zote za ulinzi ikiwa ni pamoja na nchi kavu anga, na hasa baharini, ni moja ya vipaumbele vya mipango ya ulinzi wa nchi.
-
Iran: Ushirikiano wa kieneo ndio utaimarisha usalama Ghuba ya Uajemi
Apr 15, 2022 04:01Waziri wa Ulinzi wa Iran amelaani uwepo haramu wa madola ajinabi katika eneo la kistratajia la Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormuz na kusisitiza kuwa, ushirikiano wa nchi za Asia Magharibi ndiyo dawa mjarabu ya kudhamini usalama na uthabiti wa eneo hili.
-
Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini
Mar 10, 2022 04:10Kikao cha Tatu cha Makamanda wa Gadi ya Ufukweni ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran na Oman kimefanyika mjini Muscat na kujadili usalama wa baharini. Maudhui kuu iliyojadiliwa na nchi hizi mbili ndugu katika kikao hicho ni kuzidi kushirikiana na kuwa na uratibu wa pamoja na kulinda usalama wa mpaka wa baharini wa nchi hizo.
-
Iran: Uhusiano wetu na Oman ni wa jadi na imara sana
Jan 10, 2022 14:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, uhusiano wa Tehran na Oman ni wa jadi na imara na kwamba siasa za serikali ya Iran zitaendelea kuwa za kupigania uhusiano imara na majirani zake.
-
Safari ya Zarif katika nchi za eneo; ujumbe wa kudhamini usalama wa eneo kupitia mpango wa "Amani ya Hormuz"
May 01, 2021 02:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amefanya safari katika nchi za eneo hili la Ghuba ya Uajemi, ambapo kwa kuanzia alielekea Qatar na kisha akazitembelea Iraq, Oman na Kuwait; ajenda kuu ya mazungumzo yake na viongozi wa nchi hizo ikiwa ni kubadilishana mawazo kuhusu namna ya kustawisha uhusiano wa pande mbili, pamoja na kujenga ushirikiano wa pamoja wa kudhamini amani na usalama wa eneo hili.
-
Iran: Tunafuatilia kwa karibu nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi
Jan 04, 2021 15:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Tehran inafuatilia kwa jicho la karibu nyendo na harakati za kutilia shaka za Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Kuwait: Jukumu la usalama wa Ghuba ya Uajemi ni la nchi zote za eneo hilo
Dec 15, 2020 11:34Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, suala la kulinda usalama wa Ghuba ya Uajemi ni jukumu la nchi zote za eneo hilo na hakuna nchi yoyote inayoweza kujivua na jukumu hilo.