-
GCC: Mapatano ya Saudia, Iran kuhitimisha migogoro katika eneo
Mar 23, 2023 11:11Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) limepongeza makubaliano ya hivi karibuni kati ya Iran na Saudi Arabia ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia uliokuwa umevunjika kwa kipindi cha miaka saba.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Visiwa vitatu vitabaki kuwa vya Iran milele
Jan 13, 2023 11:38Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, visiwa vitatu vitabaki kuwa vya Iran milele na hakuna mtu yeyote aliye na dhamira ya kuingiza mkono wake humo, kwani hataweza kufanya chochote, kama ambavyo hajaweza kufanya hivyo hadi sasa.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Kitendo cha Jarida la Ufaransa ni mfano wa wazi wa matamshi ya chuki
Jan 09, 2023 11:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekitaja kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo kuwa ni mfano wa wazi wa matamshi ya chuki na udhalilishaji wa thamani za wengine.
-
Wairani walalamikia ujumbe wa Twitter wa rais wa FIFA
Jan 08, 2023 05:34Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) amekosolewa vikali na watumizi wa mitandao ya kijamii wa Iran kwa kutumia neno bandia wakati wa kutaja Ghuba ya Uajemi.
-
Tehran yaiasa China iheshimu visiwa vya Ghuba ya Uajemi, milki ya Iran
Dec 12, 2022 10:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameiasa China iheshimu mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran juu ya visiwa vyake vitatu vya eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Meli ya kigeni yakamatwa Ghuba ya Uajemi ikisafirisha kimagendo lita milioni 11 za mafuta
Nov 01, 2022 02:44Afisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeinasa meli ya kigeni ya mizigo iliyokuwa imebeba mamilioni ya lita za mafuta yanayosafirishwa kimagendo katika maji ya Ghuba ya Uajemi na kuwakamata pia wafanyakazi wote wa meli hiyo.
-
Waziri wa Ulinzi asisitiza kuongezwa uwezo wa jeshi la majini la Iran kulingana na ukubwa wa vitisho
Jun 19, 2022 05:45Akiwa ziarani katika mkoa wa Hormozgan kusini mwa Iran, Brigedia Jenerali Mohammad Reza Ashtiani, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametembelea miradi ya majini ya wizara hiyo huko Bandar Abbas hususan utengenezaji wa manowari, meli za kawaida za kivita na nyambizi na kusema kuwa kuimarishwa nguvu katika pande zote za ulinzi ikiwa ni pamoja na nchi kavu anga, na hasa baharini, ni moja ya vipaumbele vya mipango ya ulinzi wa nchi.
-
Iran: Ushirikiano wa kieneo ndio utaimarisha usalama Ghuba ya Uajemi
Apr 15, 2022 04:01Waziri wa Ulinzi wa Iran amelaani uwepo haramu wa madola ajinabi katika eneo la kistratajia la Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormuz na kusisitiza kuwa, ushirikiano wa nchi za Asia Magharibi ndiyo dawa mjarabu ya kudhamini usalama na uthabiti wa eneo hili.
-
Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini
Mar 10, 2022 04:10Kikao cha Tatu cha Makamanda wa Gadi ya Ufukweni ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran na Oman kimefanyika mjini Muscat na kujadili usalama wa baharini. Maudhui kuu iliyojadiliwa na nchi hizi mbili ndugu katika kikao hicho ni kuzidi kushirikiana na kuwa na uratibu wa pamoja na kulinda usalama wa mpaka wa baharini wa nchi hizo.
-
Iran: Uhusiano wetu na Oman ni wa jadi na imara sana
Jan 10, 2022 14:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, uhusiano wa Tehran na Oman ni wa jadi na imara na kwamba siasa za serikali ya Iran zitaendelea kuwa za kupigania uhusiano imara na majirani zake.