Mar 01, 2017 07:18
Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya sheria na ya kimataifa alisema jana kwenye kikao cha Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi kwamba, ni jambo la dharura kwa suala la haki za binadamu kuepushwa kikamilifu na masuala ya kisiasa.