-
Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme
Nov 30, 2016 11:56Vyombo vya usalama nchini Uganda vimeendelea kushutumiwa kwa mauaji ya watu wa mji wa Kasese katika eneo la Rwenzori, huku vyama vya upinzani vikiitaka serikali ya Kampala kumuachia huru mfalme wa eneo la Rwenzururu ambaye anatuhumiwa kuwaongoza waasi katika makabiliano dhidi ya maafisa usalama.
-
HRW yamtaka rais mteule wa Marekani kuheshimu sheria za kibinadamu
Nov 25, 2016 03:26Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limemtaka rais mteule wa Marekani kuheshimu sheria za kimataifa.
-
HRW yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Kiarabu
Nov 23, 2016 23:25Shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti na kulalamikia hali ya haki za binadamu katika nchi za Kiarabu likisema ni ya kutisha.
-
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa AU kuhusu demokrasia na haki
Nov 23, 2016 04:46Duru ya tano ya mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Afrika kuhusu Demokrasia, Haki, za Binadamu na Uongozi imeanza hii leo mjini Arusha Tanzania.
-
Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa
Nov 23, 2016 04:38Mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kupambana na maambukizi ya virusi vya HIV nchini Malawi zimekosoa vikali hukumu ya kufungwa miaka miwili jela, iliyotolewa na mahakama moja nchini humo, dhidi ya mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.
-
UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu
Nov 22, 2016 12:55Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza utiaji nguvuni kiholela unaofanywa duniani imetoa wito tena wa kuachiwa huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.
-
Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem
Oct 16, 2016 04:30Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametaka kukatwa ushirikiano kati ya utawala huo na kundi la kutetea haki za binadamu la Btselem.
-
Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC
Oct 12, 2016 12:25Bunge la Burundi leo limepasisha muswada wa kujiondoa nchi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya Umoja wa Mataifa kuanza kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.
-
UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa
Oct 12, 2016 12:24Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.
-
Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania
Oct 12, 2016 04:05Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.