Jul 14, 2016 15:50
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imeelezea kusikitishwa kwake na kuendelea vitendo vya uvunjanji wa haki za binadamu nchini Kongo na kusema kuwa, zaidi ya kesi elfu mbili za uvunjaji wa haki za binadamu zimeripotiwa nchini humo katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu.