-
HAMAS: Tumeangamiza idadi kubwa ya askari wa Israel Gaza
Sep 30, 2024 23:49Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza habari ya kuangamiza idadi kubwa ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Hamas: Kuuawa makamanda wa Hizbullah hakuifanyi Israeli kuwa salama zaidi
Sep 28, 2024 22:47Kufuatia mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Beirut, Hamas imeonya kuwa, hatua hizo hazitaifanya Israel kuwa sehemu salama zaidi.
-
HAMAS yapongeza shambulio la kombora la Yemen dhidi ya Israel
Sep 17, 2024 04:01Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amepongeza na kusifu hatua ya jeshi la Yemen ya kushambulia eneo la jeshi la Israel huko Tel Aviv kwa kombora jipya la balistiki la hypersonic.
-
HAMAS yataka kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa Palestina
Sep 16, 2024 08:32Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa wito wa kuundwa kwa serikali ya "muafaka wa kitaifa" kwa ajili ya kusimamia masuala ya Wapalestina.
-
Israel yaunda kikosi maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar
Sep 15, 2024 04:01Shirika la kijasusi la ndani la Israel Shin Bet (Shabak) limeunda kitengo maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar, Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS.
-
Hamas yapinga makubaliano yanayotambua rasmi uwepo wa Israel huko Ghaza
Sep 06, 2024 03:56Mkuu wa timu ya mazungumzo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema harakati hiyo ya muqawama haitaafiki makubaliano ambayo yanahalalisha uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
HAMAS: Marekani ni mshirika wa Israel katika uhalifu wa kivita huko Gaza
Sep 04, 2024 03:29Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema Marekani ni mshirika wa muda mrefu wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza, na imeendelea kutoa uungaji mkono wake wa kisiasa, kijeshi na kiusalama kwa utawala huo ghasibu.
-
Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi
Sep 01, 2024 06:45Waziri Mkuu mshupalia vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemueleza waziri wake wa vita Yoav Gallant kwamba anafadhilisha jeshi la Israel libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi (Mhimili wa Saladin) kuliko kuokoa maisha ya mateka ambao wangali wanashikiliwa katika Ukanda wa Ghaza.
-
Israel yatishia kumuua kigaidi Khalid Mashaal
Aug 31, 2024 04:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel ametoa vitisho kwamba utawala huo wa Kizayuni utamuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS), Khaled Mash'al.
-
Hamas: Mauaji ya raia wa Palestina katika shule ya Salahuddin ni muendelezo wa mauaji ya kimbari
Aug 22, 2024 08:20Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika shule ya Salahuddin magharibi mwa mji wa Gaza ni muendelezo wa oparesheni za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.