-
Netanyahu asema, atawatoa kafara mateka Waisraeli lakini jeshi la Kizayuni libaki Philadelphi
Sep 01, 2024 10:15Waziri Mkuu mshupalia vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemueleza waziri wake wa vita Yoav Gallant kwamba anafadhilisha jeshi la Israel libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi (Mhimili wa Saladin) kuliko kuokoa maisha ya mateka ambao wangali wanashikiliwa katika Ukanda wa Ghaza.
-
Israel yatishia kumuua kigaidi Khalid Mashaal
Aug 31, 2024 08:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel ametoa vitisho kwamba utawala huo wa Kizayuni utamuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS), Khaled Mash'al.
-
Hamas: Mauaji ya raia wa Palestina katika shule ya Salahuddin ni muendelezo wa mauaji ya kimbari
Aug 22, 2024 11:50Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika shule ya Salahuddin magharibi mwa mji wa Gaza ni muendelezo wa oparesheni za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni haujui lolote isipokuwa kuuwa wanawake na watoto
Aug 18, 2024 02:29Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiisamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari haujui lolote jingine isipokuwa kuwashambulia na kuwauwa wanawake na watoto wasio na hatia.
-
HAMAS: Hatutashiriki mazungumzo ya usitishaji vita Doha
Aug 15, 2024 02:45Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wawakilishi wa harakati hiyo ya muqawama hawatashiriki mazungumzo ya leo ya usitishaji vita yanayotazamiwa kufanyika Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
HAMAS: Badala ya mazungumzo mapya, Wazayuni walazimishwe kutekeleza usitishaji vita
Aug 13, 2024 05:40Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala ghasibu wa Kizayuni umethibitisha kuwa hautaki kufikia makubaliano; na kwa sababu hiyo, harakati hiyo imewataka wapatanishi wa Misri na Qatar wawalazimishe Wazayuni watekeleze pendekezo la hivi karibuni la usitishaji vita badala ya kutaka yaanzishwe mazungumzo mengine mapya.
-
Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel
Aug 10, 2024 13:43Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema mazingira yameshaandaliwa kwa ajili ya Iran kutoa jibu kali na la kuumiza dhidi ya Israel, kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kumuua shahidi Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Iran: Israel imetengwa zaidi kisiasa duniani baada ya kumuua kigaidi Haniyah
Aug 09, 2024 07:20Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, kulaaniwa Israel kote duniani kwa mauaji ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Ismail Haniyah kumezidisha kutengwa kisiasa kwa utawala huo wa Kizayuni.
-
Muqawama: Kuchaguliwa Sinwar kunaonyesha Israel imeshindwa kufikia malengo yake
Aug 07, 2024 10:51Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema hatua ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kutangaza kumteua Yahya Sinwar kuwa mrithi wa Ismail Haniyah, aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya HAMAS, kwa mara nyingine tena inathibitisha kuwa, malengo ya Wazayuni ya kuwaua kigaidi viongozi wa muqawama yamegonga mwamba.
-
Bagheri Kani: Iran itatoa jibu madhubuti kwa ugaidi wa Israel
Aug 07, 2024 07:06Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema utawala wa Israel ndio chanzo halisi cha ukosefu wa utulivu katika eneo la Asia Magharibi, na kwamba utawala huo wa Kizayuni unapata ujasiri wa kutenda jinai na vitendo vyake vya kigaidi kutokana na kimya cha nchi za Ulaya.