Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • NAM: Mauaji ya Ismail Haniyah ni kitendo cha kigaidi

    NAM: Mauaji ya Ismail Haniyah ni kitendo cha kigaidi

    Aug 07, 2024 06:51

    Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) sanjari na kulaani mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Kisiasa wa Harakati ya Muqawama ya Palestina HAMAS, imeyataja mauaji hayo kama kitendo cha kigaidi.

  • Yahya Sinwar ateuliwa kuwa Mkuu mpya wa Kisiasa wa HAMAS

    Yahya Sinwar ateuliwa kuwa Mkuu mpya wa Kisiasa wa HAMAS

    Aug 07, 2024 05:44

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imemteua Yahya Sinwar kuwa Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ya muqawama, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na marehemu Ismail Haniyah.

  • OIC yafanya kikao cha dharura leo kujadili mauaji ya kigaidi ya Haniyah

    OIC yafanya kikao cha dharura leo kujadili mauaji ya kigaidi ya Haniyah

    Aug 07, 2024 03:20

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inatazamiwa kufanya kikao cha dharura leo Jumatano mjini Jeddah nchini Saudi Arabia, kujadili mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Kisiasa wa Harakati ya Muqawama ya Palestina HAMAS.

  • Abbas: Mauaji ya Haniyah yanalenga kurefusha vita vya Gaza

    Abbas: Mauaji ya Haniyah yanalenga kurefusha vita vya Gaza

    Aug 07, 2024 02:27

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amesema Israel ilimuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Ksiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Ismail Haniyah ili kuendeleza na kurefusha vita vyake dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Radiamali ya Hamas kwa jinai kubwa ya Tel Aviv dhidi ya miili ya mashahidi wa Palestina

    Radiamali ya Hamas kwa jinai kubwa ya Tel Aviv dhidi ya miili ya mashahidi wa Palestina

    Aug 06, 2024 07:51

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa kitendo kilichofanywa na utawala wa Kizayuni cha kukabidhi miili ya mashahidi zaidi ya 80 wa Kipalestina katika hali iliyoharibika kabisa kinaonyesha kiwango kisicho na kifani cha jinai za utawala huo.

  • Pezeshkian: Kosa 'kubwa' la Israel la kumuua kigaidi Haniyah litajibiwa

    Pezeshkian: Kosa 'kubwa' la Israel la kumuua kigaidi Haniyah litajibiwa

    Aug 05, 2024 03:24

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumuua kigaidi Ismail Haniyah, Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ni 'kosa kubwa' ambalo halitapita hivi hivi bila kupewa majibu.

  • Hamas, Jihad Islami zaapa: Mapambano dhidi ya Israel yatapamba moto zaidi

    Hamas, Jihad Islami zaapa: Mapambano dhidi ya Israel yatapamba moto zaidi

    Aug 03, 2024 04:29

    Makundi ya Muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina yenye makao yao huko Gaza, Hamas na Jihad Islami yamesisitiza kuwa, mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya viongozi wa kambi ya Muqawama hayatadhoofisha nguvu ya mapambano dhidi ya utawala huo ghasibu.

  • Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah

    Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah

    Aug 02, 2024 02:44

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyah.

  • HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake

    HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake

    Jul 26, 2024 12:59

    Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "Madai ya Washington kwamba inatiwa wasiwasi na hali ya kibinadamu na inasikitishwa na machungu na mateso wanayopata watu wa Ghaza ni uongo wa Kimarekani".

  • HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    Jul 19, 2024 11:08

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina za HAMAS na Jihadul Islami zimeitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina ibatilishe uamuzi wake wa kuutambua utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS