Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    Jun 08, 2016 23:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema operesheni ya shambulio lililotekelezwa dhidi ya Wazayuni ni matokeo ya jinai zilizoshtadi za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina

    Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina

    May 29, 2016 02:55

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amekaribisha juhudi zozote zenye lengo la kufanikisha umoja wa kitaifa na kuhitimisha mgawanyiko na hitilafu za ndani kati ya Wapalestina.

  • Hamas yasisitiza tena udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Israel

    Hamas yasisitiza tena udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Israel

    May 11, 2016 11:07

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza juu ya udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali

    Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali

    May 06, 2016 23:50

    Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mashambulizi yake mapya katika Ukanda wa Gaza huku uvamizi huo mpya wa Tel Aviv katika eneo hilo ukiingia siku yake ya nne Jumamosi.

  • Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza

    Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza

    May 04, 2016 22:14

    Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora minara ya kijeshi inayomilikiwa na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yatilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Iran kwa kambi ya muqawama

    HAMAS yatilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Iran kwa kambi ya muqawama

    Apr 28, 2016 10:43

    Osama Hamdan, Mkuu wa uhusiano wa kimataifa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna udharura wa kuzidishwa uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kambi ya muqawama ili kupunguza machungu na mateso wanayopata Wapalestina kutokana na muendelezo wa siasa za kidhalimu za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS yaiomba OIC ichukue hatua za kuisaidia Palestina

    HAMAS yaiomba OIC ichukue hatua za kuisaidia Palestina

    Apr 14, 2016 23:45

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ilisaidie taifa la Palestina katika kukabiliana na uvamizi na ukaliaji wa mabavu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Mapambano ndio njia pekee ya kuwakomboa mateka wa Kipalestina

    HAMAS: Mapambano ndio njia pekee ya kuwakomboa mateka wa Kipalestina

    Apr 04, 2016 23:53

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, mapambano ndio njia pekee ya kuwakomboa mateka wa Kipalestina walioko katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas yakana kuzungumza na Misri kuhusu askari mateka wa Israel

    Hamas yakana kuzungumza na Misri kuhusu askari mateka wa Israel

    Apr 04, 2016 12:00

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amekanusha madai ya kuwepo aina yoyote ya mazungumzo baina ya harakati hiyo na Misri kuhusu askari wa Israel wanaoshikiliwa mateka na Hamas.

  • Hamas yasisitiza kukombolewa Palestina

    Hamas yasisitiza kukombolewa Palestina

    Mar 30, 2016 23:50

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema kuwa mapambano ndio njia pekee ya kukomboa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wa Isarel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS