• Fat-h na Hamas zaafikiana kutekeleza maelewano ya kitaifa

    Fat-h na Hamas zaafikiana kutekeleza maelewano ya kitaifa

    Mar 30, 2016 02:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Fat-h huko Ghaza amesema kuwa hakuna makubaliano mapya katika ajenda ya kazi, bali kile kilichopo ni kufikiwa makubaliano kuhusu utekelezaji wa maelewano ya kitaifa ya Palestina.

  • Misri yatoa sharti kwa Hamas la kufanikisha maridhiano ya Wapalestina

    Misri yatoa sharti kwa Hamas la kufanikisha maridhiano ya Wapalestina

    Mar 27, 2016 10:03

    Gazeti la Ra'yul-Yaum linalochapishwa London, Uingereza limeripoti kuwa serikali ya Misri imetoa masharti kwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ili kutekeleza maombi ya harakati hiyo.

  • HAMAS: Intifadha itaendelea hadi malengo ya Wapalestina yafikiwe

    HAMAS: Intifadha itaendelea hadi malengo ya Wapalestina yafikiwe

    Mar 25, 2016 21:12

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Intifadha ya Quds itaendelea hadi malengo ya Wapalestina yafikiwe.

  • Hamas yatunisha misuli yake Ukanda wa Gaza

    Hamas yatunisha misuli yake Ukanda wa Gaza

    Mar 23, 2016 21:42

    Wapiganaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas wamefanya mazoezi ya kijeshi katika eneo la Ukanda wa Gaza kwa shabaha ya kuzidisha utayarifu wao kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya aina yoyote ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas yalaani ukatili unaofanywa na Wazayuni

    Hamas yalaani ukatili unaofanywa na Wazayuni

    Mar 20, 2016 22:48

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali hatua ya Wazayuni wa Israel ya kuchoma moto nyumba ya shahidi pekee wa jinai ya kuchomwa moto nyumba na familia ya al Sa'ad Dawabsheh na kuteketezwa watu wa familia hiyo wakiwa hai.

  • Hamas: Tel Aviv inataka kupotosha watu kuhusu mapambano ya Intifadha

    Hamas: Tel Aviv inataka kupotosha watu kuhusu mapambano ya Intifadha

    Mar 14, 2016 04:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamasi imetangaza kuwa lengo la mashambulizi yaliyofanywa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza ni kuwafanya walimwengu wasitilie maanani na kuzingatia mapambano ya Intifadha ya Quds Tukufu.

  • HAMAS kuendeleza juhudi za kuleta umoja baina ya Wapalestina

    HAMAS kuendeleza juhudi za kuleta umoja baina ya Wapalestina

    Mar 07, 2016 23:42

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema harakati hiyo itaendelea kufanya juhudi ili ufikiwe umoja na kukombolewa ardhi zote za Palestina.

  • Hamas yaionya Israel kuhusu vita

    Hamas yaionya Israel kuhusu vita

    Feb 26, 2016 23:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kuibuka tetesi kuwa utawala huo unapanga kuanzisha vita vipya dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Hamas: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa nguvu Intifadha ya Palestina

    Hamas: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa nguvu Intifadha ya Palestina

    Feb 11, 2016 03:51

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 nchini Iran yameishajiisha na kuipa nguvu Intifadha na mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel ambao unazikalia ardhi za Wapalestina kwa mabavu.

  • Mashauriano baina ya Fat'h na Hamas ya kufikia maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Mashauriano baina ya Fat'h na Hamas ya kufikia maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Feb 08, 2016 03:44

    Wakati mashauriano yanaendelea baina ya harakati za Hamas na Fat'h kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa maridhiano ya kitaifa ya Wapalestina, wawakilishi wa Fat'h kwenye vikao vya mashauriano wametoa masharti mapya kwa ajili ya kufikiwa maridhiano hayo ambayo yamekabiliwa na radiamali ya harakati ya Hamas.