Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Hassan Nasrullah: Kimbunga cha al-Aqsa kimemsukuma adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti

    Hassan Nasrullah: Kimbunga cha al-Aqsa kimemsukuma adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti

    Apr 04, 2024 03:22

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni tofauti na miaka iliyopita, na kwamba operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imemweka adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti.

  • Sababu za utawala wa Kizayuni kulazimisha vita katika upande wa kaskazini

    Sababu za utawala wa Kizayuni kulazimisha vita katika upande wa kaskazini

    Apr 01, 2024 22:49

    Yoav Gallant, Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni, amesema kwamba utawala huo haramu utapanua operesheni zake za kijeshi katika eneo la kaskazini la ardhi zinazokaliwa kwa mabvu na kushambulia kila sehemu ya Beirut na Damascus ambapo Hizbullah ya Lebanon inaendeshea shughuli zake.

  • Kwa mara nyingine, Hizbullah yazitwanga kwa mizinga kambi za kijeshi za Israel

    Kwa mara nyingine, Hizbullah yazitwanga kwa mizinga kambi za kijeshi za Israel

    Apr 01, 2024 03:23

    Wanamapambano wa Kiislamu wa nchini Lebanon kwa mara nyingine wamezitwanga kwa mizinga kambi za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel kujibu jinai na mauaji ya umati yanayofanywa na Wazayuni huko Ghaza, Palestina.

  • Hizbullah yajibu mapigo, yapiga ngome za Israel kwa droni na mizinga

    Hizbullah yajibu mapigo, yapiga ngome za Israel kwa droni na mizinga

    Mar 23, 2024 04:06

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza kwa kupiga ngome na kambi za kijeshi za Wazayuni kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa makombora ya mizinga na ndege zisizo na rubani (droni).

  • Kan TV: Askari 17 wa Israel wameuawa katika mashambulizi ya Hizbullah

    Kan TV: Askari 17 wa Israel wameuawa katika mashambulizi ya Hizbullah

    Mar 21, 2024 06:42

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimetangaza kuwa, wanajeshi 17 wa utawala wa haramu wa Israel wameangamizwa katika mashambulizi ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Hizbullah yaipiga komandi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya mizinga

    Hizbullah yaipiga komandi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya mizinga

    Mar 08, 2024 23:27

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza kwa kukitwanga kwa makombora kituo kilichoanzishwa karibuni tu cha komandi ya kijeshi ya Israel kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • Hizbullah yayatwanga tena maeneo ya Wazayuni kwa mvua ya makombora

    Hizbullah yayatwanga tena maeneo ya Wazayuni kwa mvua ya makombora

    Mar 06, 2024 10:31

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, imekitwanga kwa makumi ya makombora ya Katyusha, kitongoji cha walowezi wa Kizayuni cha Kfar Blum cha kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • Ngome za Israel zanyeshewa kwa 'mvua' ya makombora ya Hizbullah

    Ngome za Israel zanyeshewa kwa 'mvua' ya makombora ya Hizbullah

    Feb 25, 2024 06:25

    Wanajihadi wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebaon wameshambulia kwa makombora na maroketi kambi kadhaa za utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu usiku wa kuamkia leo.

  • "Hali ngumu" ya utawala wa Kizayuni katika vita na Hizbullah ya Lebanon

    Feb 22, 2024 06:42

    Vyanzo vya habari vya Kiebrania vimeonya juu ya hali ngumu itakayoikabili Israeli ikiwa itaanzisha vita dhidi ya Lebanon na uwezekano wa kuangamia maelfu ya Waisraeli, kufuatia vitisho vya mara kwa mara vya maafisa wa Israeli dhidi ya Lebanon na Hizbullah.

  • HAMAS yaendelea kuwatwanga kwa maroketi wanajeshi vamizi wa Israel

    HAMAS yaendelea kuwatwanga kwa maroketi wanajeshi vamizi wa Israel

    Feb 16, 2024 23:18

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeendelea kuwatwanga kwa maroketi wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kujibu jinai zinazofanywa na Wazayuni hao makatili dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS