Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Imarati yadai kuhusika katika kuuzuliwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    Imarati yadai kuhusika katika kuuzuliwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    Mar 14, 2018 14:31

    Abdulkhaliq Abdullah Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Umoja wa Falme za Kiarabu Imarati na ambaye pia ni Naibu wa Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan mrithi wa Mtawala wa Abu Dhabi amedai kuwa nchi hiyo imehusika katika kuuzuliwa Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na kusema kuwa anajifakharisha na hatua hiyo.

  • Bunge la Somalia lapinga makubaliano ya Imarati na Somaliland

    Bunge la Somalia lapinga makubaliano ya Imarati na Somaliland

    Mar 13, 2018 07:35

    Bunge la Federali la Somalia limepiga kura kwa kishindo kupinga makubaliano ya pande tatu kati ya eneo la Somaliland, Umoja wa Falme za Kiarabu na Ethiopia kuhusu bandari ya Berbera, iliyoko katika Ghuba ya Aden.

  • Imarati inatumia pesa zilizozuiwa za Libya kuwaunga mkono wapiganaji wa Haftar

    Imarati inatumia pesa zilizozuiwa za Libya kuwaunga mkono wapiganaji wa Haftar

    Mar 12, 2018 13:46

    Makamu wa pili wa Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Libya amesema kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unatumia pesa zilizozuiwa za Libya kuwaunga mkono wapiganaji wa kamanda wa jeshi la taifa la nchi hiyo.

  • Marekani kuwekeana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati; Doha yaishtaki Abu Dhabi kwa UN

    Marekani kuwekeana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati; Doha yaishtaki Abu Dhabi kwa UN

    Mar 09, 2018 03:55

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani jana (Alkhamisi) ilisema kuwa karibuni hivi nchi hiyo itatiliana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati ambayo itakuwa na thamani ya dola milioni 467.

  • Ethiopia yanunua hisa za Bandari ya Berbera Somaliland

    Ethiopia yanunua hisa za Bandari ya Berbera Somaliland

    Mar 02, 2018 07:51

    Serikali ya Ethiopia imenunua asilimia 19 ya hisa za Bandari ya Berbera iliyoko katika Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland nchini Somalia.

  • Mansour Hadi avunja ukimya; aituhumu Imarati kwa kuvuruga uthabiti Yemen

    Mansour Hadi avunja ukimya; aituhumu Imarati kwa kuvuruga uthabiti Yemen

    Feb 13, 2018 02:57

    Rais wa zamani wa Yemen Abdu Rabbuh Mansour Hadi hatimaye amevunja kimya chake na kuituhumu Imarati kuwa inadhoofisha na kuvuruga hali ya uthabiti huko Yemen.

  • Mshindi wa Nobel asema Saudia na Imarati zimeisaliti Yemen

    Mshindi wa Nobel asema Saudia na Imarati zimeisaliti Yemen

    Feb 08, 2018 14:16

    Tawakkol Karman, mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa nchini Yemen amesema Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimeisaliti nchi yake kwa kuivamia kijeshi na kuifanya ishuhudie moja ya migogoro mikubwa zaidi duniani.

  • Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati

    Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati

    Feb 08, 2018 07:53

    Rais Abdul-Fatah al-Sisi wa Misri Jumanne ya juzi aliwasili Abu Dhabi katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) baada ya kukamilisha safari yake ya siku tatu huko Oman.

  • Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Katiba Bunge la Somalia asema: Imarati ilipanga kumuua

    Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Katiba Bunge la Somalia asema: Imarati ilipanga kumuua

    Feb 04, 2018 02:42

    Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Katiba ya Mabunge ya Somalia amesema kuwa vyombo vya ujasusi vya Imarati vilihusika na shambulizi lililolenga nyumba yake mjini Mogadishu mwishoni mwa mwezi Disemba na kwamba lengo la shambulizi hilo lilikuwa kumuua yeye.

  • Mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel ashangaa kutoshtakiwa Bin Salman na Al Nahyan

    Mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel ashangaa kutoshtakiwa Bin Salman na Al Nahyan

    Feb 03, 2018 08:20

    Bi Tawakkol Karman, mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel wa nchini Yemen amesisitizia umuhimu wa kushtakiwa kimataifa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme nchini Saudia na Mohammed bin Zayed Al Nahyan, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Abu Dhabi kutokana na jinai zao za mauaji ya umati nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS