Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati

    Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati

    Feb 08, 2018 04:23

    Rais Abdul-Fatah al-Sisi wa Misri Jumanne ya juzi aliwasili Abu Dhabi katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) baada ya kukamilisha safari yake ya siku tatu huko Oman.

  • Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Katiba Bunge la Somalia asema: Imarati ilipanga kumuua

    Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Katiba Bunge la Somalia asema: Imarati ilipanga kumuua

    Feb 03, 2018 23:12

    Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Katiba ya Mabunge ya Somalia amesema kuwa vyombo vya ujasusi vya Imarati vilihusika na shambulizi lililolenga nyumba yake mjini Mogadishu mwishoni mwa mwezi Disemba na kwamba lengo la shambulizi hilo lilikuwa kumuua yeye.

  • Mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel ashangaa kutoshtakiwa Bin Salman na Al Nahyan

    Mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel ashangaa kutoshtakiwa Bin Salman na Al Nahyan

    Feb 03, 2018 04:50

    Bi Tawakkol Karman, mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel wa nchini Yemen amesisitizia umuhimu wa kushtakiwa kimataifa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme nchini Saudia na Mohammed bin Zayed Al Nahyan, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Abu Dhabi kutokana na jinai zao za mauaji ya umati nchini Yemen.

  • Nchi za Afrika zakasirishwa na uingiliaji kijeshi wa UAE nchini Eritrea na Somalia

    Nchi za Afrika zakasirishwa na uingiliaji kijeshi wa UAE nchini Eritrea na Somalia

    Jan 30, 2018 04:16

    Baadhi ya nchi za Kiafrika zimepinga vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, kujenga vituo vya kijeshi na kuingilia mambo ya ndani ya Eritrea na Somalia.

  • Mapigano makali yaibuka kati ya wanamgambo wa Saudia na Imarati, Aden nchini Yemen

    Mapigano makali yaibuka kati ya wanamgambo wa Saudia na Imarati, Aden nchini Yemen

    Jan 29, 2018 01:15

    Katika mapigano makali yaliyojiri kati ya wanamgambo wanaoungwa mkono na Saudia na Imarati mjini Aden, kusini mwa Yemen kwa akali watu 10 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa.

  • Muungano wa Saudia, Imarati na Bahrain huko Davos, ni kosa la kistratajia

    Muungano wa Saudia, Imarati na Bahrain huko Davos, ni kosa la kistratajia

    Jan 27, 2018 04:15

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa ameutaja muungano eti dhidi ya Iran wa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain katika Mkutano wa Kimataifa wa uchumi huko Davos nchini Uswisi kama kosa la kistratajia.

  • UAE iliilipa kampuni ya Marekani kueneza propaganda dhidi ya Qatar

    UAE iliilipa kampuni ya Marekani kueneza propaganda dhidi ya Qatar

    Jan 21, 2018 04:18

    Shirika la habari la NBC News limefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu uliilipa kampuni moja ya Marekani dola 333,000 ili kueneza propaganda chafu dhidi ya Qatar mwaka jana.

  • Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Jan 13, 2018 00:14

    Licha ya kupita zaidi ya miezi 7 tokea kuanza mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za kundi la 3+1, si tu kwamba hakuna dalili zozote zinazoonyesha kupungua mvutano huo bali umekuwa ukiongezeka siku baada ya nyingine.

  • Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi

    Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi

    Jan 12, 2018 00:49

    Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amewasilisha mashitaka kwa Baraza la Usalama la Umoja dhidi ya Imarati kutokana na hatua yake ya kichokozi ya kukiuka anga yake.

  • UN yashtushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Imarati

    UN yashtushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Imarati

    Jan 10, 2018 12:32

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana na kushtadi uvunjwaji wa haki za binadamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS