-
Hila za Imarati kwa ajili ya kuanzisha kambi ya kijeshi nchini Yemen
Jan 01, 2018 00:51Mtandao wa Kifaransa wa Intelligence Oline umefichukua kuwa, hivi sasa Imarati sambamba na kubadili kisiwa cha kistratijia cha Socotra nchini Yemen kuwa eneo la kijeshi, imeazimia kuanzisha kambi yake ya kijeshi katika kisiwa hicho
-
Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake
Dec 27, 2017 03:46Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.
-
Tunisia yapiga marufuku ndege za UAE kutua nchini humo
Dec 25, 2017 03:17Tunisia imetangaza kupiga marufuku ndege za Shirika la Ndege la Emirates la Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE kutua nchini humo. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya UAE kuwapiga marufuku wanawake wa Tunisia kuingia UAE au kupitia katika ardhi ya nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.
-
Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki
Dec 20, 2017 12:54Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).
-
Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar
Nov 29, 2017 04:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameeleza kughadhibishwa kwa Imarati na hatua ya shirika moja la kutetea haki za binadamu kufungua faili la jinai za kivita za nchi hiyo dhidi ya Yemen.
-
Faili la jinai za Imarati dhidi ya Yemen lafunguliwa ICC
Nov 28, 2017 04:14Shirika moja la kutetea haki za binadamu limewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likiituhumu nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa imetenda jinai za kivita ukishirikiana na Saudi Arabia dhidi ya Yemen.
-
Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV
Nov 15, 2017 04:15Waziri mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE ameitaka Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya kudhibiti misikiti na makhatibu wa misikiti katika nchi zao kwa shabaha ya kuzuia uenezwaji wa misimamo mikali ya kufurutu ada.
-
Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US
Oct 15, 2017 04:20Imebainika kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulikula njama ya kuishambulia kijeshi Qatar, kwa kutumia maelfu ya mamluki waliopata mafunzo ya kijeshi kutoka kampuni moja ya Marekani.
-
Imarati yaitaka Qatar isiandae Kombe la Dunia 2022
Oct 09, 2017 04:25Afisa wa ngazi za juu wa usalama katika Umoja wa Falme za Kiarabu amesema mgogoro uliopo kati ya Doha na nchi kadhaa za Kiarabu zikiongozwa na Saudi Arabia utapatiwa ufumbuzi iwapo Qatar itaachana na azma yake ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022.
-
UAE inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 08, 2017 11:10Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati, inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel.