Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Dec 20, 2017 16:24

    Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).

  • Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar

    Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar

    Nov 29, 2017 08:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameeleza kughadhibishwa kwa Imarati na hatua ya shirika moja la kutetea haki za binadamu kufungua faili la jinai za kivita za nchi hiyo dhidi ya Yemen.

  • Faili la jinai za Imarati dhidi ya Yemen lafunguliwa ICC

    Faili la jinai za Imarati dhidi ya Yemen lafunguliwa ICC

    Nov 28, 2017 07:44

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu limewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likiituhumu nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa imetenda jinai za kivita ukishirikiana na Saudi Arabia dhidi ya Yemen.

  • Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Nov 15, 2017 07:45

    Waziri mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE ameitaka Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya kudhibiti misikiti na makhatibu wa misikiti katika nchi zao kwa shabaha ya kuzuia uenezwaji wa misimamo mikali ya kufurutu ada.

  • Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US

    Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US

    Oct 15, 2017 07:50

    Imebainika kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulikula njama ya kuishambulia kijeshi Qatar, kwa kutumia maelfu ya mamluki waliopata mafunzo ya kijeshi kutoka kampuni moja ya Marekani.

  • Imarati yaitaka Qatar isiandae Kombe la Dunia 2022

    Imarati yaitaka Qatar isiandae Kombe la Dunia 2022

    Oct 09, 2017 07:55

    Afisa wa ngazi za juu wa usalama katika Umoja wa Falme za Kiarabu amesema mgogoro uliopo kati ya Doha na nchi kadhaa za Kiarabu zikiongozwa na Saudi Arabia utapatiwa ufumbuzi iwapo Qatar itaachana na azma yake ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022.

  • UAE inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel

    UAE inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 08, 2017 14:40

    Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati, inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Sep 22, 2017 07:57

    Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.

  • Imarati inanunua nyumba za wakazi wa Baitul Muqaddas kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni

    Imarati inanunua nyumba za wakazi wa Baitul Muqaddas kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni

    Sep 03, 2017 13:43

    Naibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu amesema kuwa mashirika na taasisi za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) yananunua nyumba za wakazi wa Baitul Muqaddas zilizo karibu na msikiti wa al Aqsa kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni.

  • Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano yao na utawala wa Kizayuni

    Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano yao na utawala wa Kizayuni

    Jul 29, 2017 13:44

    Sambamba na kuwepo mahusiano ya muda mrefu kati ya nchi zinazolizingira kwa kila upande taifa la Qatar na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, habari zinaarifu kwamba Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano hayo kwa walimwengu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS