Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Jan 13, 2018 00:14

    Licha ya kupita zaidi ya miezi 7 tokea kuanza mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za kundi la 3+1, si tu kwamba hakuna dalili zozote zinazoonyesha kupungua mvutano huo bali umekuwa ukiongezeka siku baada ya nyingine.

  • Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi

    Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi

    Jan 12, 2018 00:49

    Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amewasilisha mashitaka kwa Baraza la Usalama la Umoja dhidi ya Imarati kutokana na hatua yake ya kichokozi ya kukiuka anga yake.

  • UN yashtushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Imarati

    UN yashtushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Imarati

    Jan 10, 2018 12:32

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana na kushtadi uvunjwaji wa haki za binadamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Hila za Imarati kwa ajili ya kuanzisha kambi ya kijeshi nchini Yemen

    Hila za Imarati kwa ajili ya kuanzisha kambi ya kijeshi nchini Yemen

    Jan 01, 2018 00:51

    Mtandao wa Kifaransa wa Intelligence Oline umefichukua kuwa, hivi sasa Imarati sambamba na kubadili kisiwa cha kistratijia cha Socotra nchini Yemen kuwa eneo la kijeshi, imeazimia kuanzisha kambi yake ya kijeshi katika kisiwa hicho

  • Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake

    Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake

    Dec 27, 2017 03:46

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.

  • Tunisia yapiga marufuku ndege za UAE kutua nchini humo

    Tunisia yapiga marufuku ndege za UAE kutua nchini humo

    Dec 25, 2017 03:17

    Tunisia imetangaza kupiga marufuku ndege za Shirika la Ndege la Emirates la Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE kutua nchini humo. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya UAE kuwapiga marufuku wanawake wa Tunisia kuingia UAE au kupitia katika ardhi ya nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Dec 20, 2017 12:54

    Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).

  • Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar

    Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar

    Nov 29, 2017 04:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameeleza kughadhibishwa kwa Imarati na hatua ya shirika moja la kutetea haki za binadamu kufungua faili la jinai za kivita za nchi hiyo dhidi ya Yemen.

  • Faili la jinai za Imarati dhidi ya Yemen lafunguliwa ICC

    Faili la jinai za Imarati dhidi ya Yemen lafunguliwa ICC

    Nov 28, 2017 04:14

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu limewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likiituhumu nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa imetenda jinai za kivita ukishirikiana na Saudi Arabia dhidi ya Yemen.

  • Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Nov 15, 2017 04:15

    Waziri mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE ameitaka Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya kudhibiti misikiti na makhatibu wa misikiti katika nchi zao kwa shabaha ya kuzuia uenezwaji wa misimamo mikali ya kufurutu ada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS