Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki

    Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki

    Jun 13, 2017 23:48

    Gazeti moja la kila siku la Uturuki limeandika kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulitoa kitita cha dola bilioni 3 za Marekani kwa ajili ya kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli mwezi Julai mwaka jana 2016 nchini Uturuki.

  • Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar

    Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar

    Jun 13, 2017 09:26

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua zisizo na mantiki za Saudi Arabia na wapambe wake dhidi ya Qatar.

  • UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya

    UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya

    Jun 10, 2017 11:26

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekiuka vikwazo vya silaha vya Libya.

  • Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Jun 05, 2017 03:15

    Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.

  • Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen

    Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen

    May 07, 2017 02:40

    Vibaraka na mamluki wa Umoja wa Ufalme za Kiarabu nchini Yemen wametangaza kuundwa asasi mpya ya kisiasa kusini mwa nchi hiyo kwa ajili ya uendeshaji masuala ya eneo hilo.

  • Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao

    Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao

    May 06, 2017 22:05

    Viongozi wa kisiasa wa maeneo ya kusini mwa Yemen wanaoishi mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen wamekosoa vikali hatua ya serikali ya Imarati ya kuanzisha mrengo wa wanamgambo ndani ya ardhi yao kwa lengo la kuigawa Yemen na kudhibiti maeneo ya kusini mwa taifa hilo.

  • Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na  Somaliland

    Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland

    Feb 15, 2017 03:59

    Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.

  • Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Nov 13, 2016 09:05

    Duru za kisiasa zenye mfungamano na Saudi Arabia kwa siku kadhaa sasa zimeanzisha duru mpya ya harakati za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran.

  • Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati

    Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati

    Nov 05, 2016 00:05

    Licha ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokuwa na uhusiano wa kidiplomasia wala kutoutambua utawala haramu wa Israel, lakini maafisa wa ngazi za juu wa utawala huo wa Kizayuni wamefanya safari ya siri mjini Dubai.

  • Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Aug 16, 2016 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imewahamisha wafungwa 15 wa jela ya kutisha ya Guantanamo na kuwapeleka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ukiwa ni uhamisho mkubwa zaidi wa wafungwa hao kufanywa na utawala wa Rais Barack Obama wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS