Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Jun 05, 2017 07:45

    Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.

  • Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen

    Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen

    May 07, 2017 07:10

    Vibaraka na mamluki wa Umoja wa Ufalme za Kiarabu nchini Yemen wametangaza kuundwa asasi mpya ya kisiasa kusini mwa nchi hiyo kwa ajili ya uendeshaji masuala ya eneo hilo.

  • Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao

    Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao

    May 07, 2017 02:35

    Viongozi wa kisiasa wa maeneo ya kusini mwa Yemen wanaoishi mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen wamekosoa vikali hatua ya serikali ya Imarati ya kuanzisha mrengo wa wanamgambo ndani ya ardhi yao kwa lengo la kuigawa Yemen na kudhibiti maeneo ya kusini mwa taifa hilo.

  • Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na  Somaliland

    Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland

    Feb 15, 2017 07:29

    Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.

  • Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Nov 13, 2016 12:35

    Duru za kisiasa zenye mfungamano na Saudi Arabia kwa siku kadhaa sasa zimeanzisha duru mpya ya harakati za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran.

  • Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati

    Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati

    Nov 05, 2016 03:35

    Licha ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokuwa na uhusiano wa kidiplomasia wala kutoutambua utawala haramu wa Israel, lakini maafisa wa ngazi za juu wa utawala huo wa Kizayuni wamefanya safari ya siri mjini Dubai.

  • Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Aug 17, 2016 03:58

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imewahamisha wafungwa 15 wa jela ya kutisha ya Guantanamo na kuwapeleka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ukiwa ni uhamisho mkubwa zaidi wa wafungwa hao kufanywa na utawala wa Rais Barack Obama wa Marekani.

  • Imarati yawataka raia wake wasivae kanzu, buibui wakiwa nje ya nchi

    Imarati yawataka raia wake wasivae kanzu, buibui wakiwa nje ya nchi

    Jul 04, 2016 14:23

    Imarati (UAE) imewataka raia wake wajiepushe kuvaa kanzu na buibui wakiwa nje ya nchi ili wasifananishwe na wafuasi wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh

  • Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    May 30, 2016 04:26

    Utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake ikiwemo Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu na Jordan zinapanga njama ya kumuondoa madarakani Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas.

  • Ndege ya Dubai yaanguka Russia, 62 wafariki

    Ndege ya Dubai yaanguka Russia, 62 wafariki

    Mar 19, 2016 03:31

    Watu 62 wamefariki dunia mapema leo baada ya ndege ya abiria ya Shirika la Fly Dubai kuanguka wakati ikijaribu kutua katika mji wa Rostov-on-Don kusini mwa Russia karibu na mpaya wa nchi hiyo na Ukraine.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS