-
Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki
Jun 13, 2017 23:48Gazeti moja la kila siku la Uturuki limeandika kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulitoa kitita cha dola bilioni 3 za Marekani kwa ajili ya kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli mwezi Julai mwaka jana 2016 nchini Uturuki.
-
Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar
Jun 13, 2017 09:26Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua zisizo na mantiki za Saudi Arabia na wapambe wake dhidi ya Qatar.
-
UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya
Jun 10, 2017 11:26Umoja wa Mataifa umesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekiuka vikwazo vya silaha vya Libya.
-
Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi
Jun 05, 2017 03:15Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.
-
Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen
May 07, 2017 02:40Vibaraka na mamluki wa Umoja wa Ufalme za Kiarabu nchini Yemen wametangaza kuundwa asasi mpya ya kisiasa kusini mwa nchi hiyo kwa ajili ya uendeshaji masuala ya eneo hilo.
-
Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao
May 06, 2017 22:05Viongozi wa kisiasa wa maeneo ya kusini mwa Yemen wanaoishi mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen wamekosoa vikali hatua ya serikali ya Imarati ya kuanzisha mrengo wa wanamgambo ndani ya ardhi yao kwa lengo la kuigawa Yemen na kudhibiti maeneo ya kusini mwa taifa hilo.
-
Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland
Feb 15, 2017 03:59Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.
-
Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Nov 13, 2016 09:05Duru za kisiasa zenye mfungamano na Saudi Arabia kwa siku kadhaa sasa zimeanzisha duru mpya ya harakati za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran.
-
Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati
Nov 05, 2016 00:05Licha ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokuwa na uhusiano wa kidiplomasia wala kutoutambua utawala haramu wa Israel, lakini maafisa wa ngazi za juu wa utawala huo wa Kizayuni wamefanya safari ya siri mjini Dubai.
-
Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati
Aug 16, 2016 23:28Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imewahamisha wafungwa 15 wa jela ya kutisha ya Guantanamo na kuwapeleka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ukiwa ni uhamisho mkubwa zaidi wa wafungwa hao kufanywa na utawala wa Rais Barack Obama wa Marekani.