Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Nchi za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo Qatar zadhurika kiuchumi

    Nchi za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo Qatar zadhurika kiuchumi

    Jul 08, 2017 22:21

    Kuongezeka mivutano katika uhusuano wa nchi nne za Kiarabu na Qatar kumezisababishia madhara makubwa ya kiuchumi nchi za Saudia na Imarati.

  • Chama cha Leba cha Uingereza chataka uchunguzi kuhusu jela za Imarati Yemen

    Chama cha Leba cha Uingereza chataka uchunguzi kuhusu jela za Imarati Yemen

    Jul 02, 2017 10:47

    Mkuu wa chama cha Leba cha nchini Uingereza amesema kuna udharura wa kufanyika uchunguzi kuhusu jela za siri za mateso za Umoja wa Falme za Kiarabu nchini Yemen.

  • Kufichuliwa ushiriki wa Imarati katika vitendo vya kigaidi vya Israel

    Kufichuliwa ushiriki wa Imarati katika vitendo vya kigaidi vya Israel

    Jun 17, 2017 07:49

    Habari mbalimbali zimearifu tukio jipya la namna Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unavyoshiriki katika vitendo vya kigaidi vya utawala wa Israel; suala ambalo katika siku za hivi karibuni kwa mara nyingine tena limeakisi ushirikiano uliopo kati ya watawala wa Kiarabu na maghasibu wanaoikalia Quds Tukufu kwa mabavu katika kuwakandamiza wananchi wa Palestina na kusogeza mbele siasa za kigaidi za Israel.

  • Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki

    Ripoti: Imarati ilitoa dola bilioni 3 kufadhili mapinduzi ya kijeshi Uturuki

    Jun 13, 2017 23:48

    Gazeti moja la kila siku la Uturuki limeandika kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulitoa kitita cha dola bilioni 3 za Marekani kwa ajili ya kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli mwezi Julai mwaka jana 2016 nchini Uturuki.

  • Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar

    Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar

    Jun 13, 2017 09:26

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua zisizo na mantiki za Saudi Arabia na wapambe wake dhidi ya Qatar.

  • UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya

    UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya

    Jun 10, 2017 11:26

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekiuka vikwazo vya silaha vya Libya.

  • Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Jun 05, 2017 03:15

    Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.

  • Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen

    Kuongezeka ushawishi wa uzushaji fitna wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini Yemen

    May 07, 2017 02:40

    Vibaraka na mamluki wa Umoja wa Ufalme za Kiarabu nchini Yemen wametangaza kuundwa asasi mpya ya kisiasa kusini mwa nchi hiyo kwa ajili ya uendeshaji masuala ya eneo hilo.

  • Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao

    Wayemen waikosoa Imarati kwa kuanzisha mrengo wa wanamgambo nchini mwao

    May 06, 2017 22:05

    Viongozi wa kisiasa wa maeneo ya kusini mwa Yemen wanaoishi mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen wamekosoa vikali hatua ya serikali ya Imarati ya kuanzisha mrengo wa wanamgambo ndani ya ardhi yao kwa lengo la kuigawa Yemen na kudhibiti maeneo ya kusini mwa taifa hilo.

  • Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na  Somaliland

    Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland

    Feb 15, 2017 03:59

    Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS