Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Feb 17, 2019 05:04

    Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.

  • Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo

    Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo

    Jan 01, 2019 15:04

    Timu ya waokoaji imeendelea na zoezi la kutafuta watu ambao bado wako hai baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha maporoko ya udongo mashariki mwa Indonesia.

  • Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video

    Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video

    Dec 23, 2018 07:20

    Makumi ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami iliyosababishwa na mripuko wa volcano nchini Indonesia.

  • Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia

    Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia

    Nov 05, 2018 02:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imetoa taarifa ikisema kuwa, tokea mwaka 2011 hadi sasa utawala wa Saudia, umewahukumu kifo raia 103 wa nchi hiyo.

  • Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia

    Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia

    Oct 07, 2018 15:29

    Watu wasiopungua elfu tano hawajulikani walipo hiyo ni baada ya mtetemeko wa ardhi na tsunami kutokea katika mji wa Palu nchini Indonesia.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200

    Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200

    Oct 02, 2018 08:18

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia imeogezeka na kufikia watu 1,234.

  • Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia

    Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia

    Sep 29, 2018 08:11

    Mamia ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia.

  • Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia

    Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia

    Aug 02, 2018 12:11

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

  • Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Aug 01, 2018 15:16

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

  • 29 wakufa maji, 41 watoweka baada ya feri yao kuzama Indonesia

    29 wakufa maji, 41 watoweka baada ya feri yao kuzama Indonesia

    Jul 04, 2018 07:30

    Kwa akali watu 29 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya feri kuzama karibu na kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, huku hatima ya makumi ya wengi ikisalia kitendawili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS