Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Indonesia: Hakuna mazungumzo ya siri tuliyoyafanya na Israel

    Indonesia: Hakuna mazungumzo ya siri tuliyoyafanya na Israel

    Jun 30, 2018 04:16

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imekadhibisha madai yaliyotolewa na utawala haramu wa Kizayuni kwamba serikali ya nchi hiyo imefanya mazungumzo ya siri na utawala huo kwa ajili ya kuondolewa marufuku inayowazuia Wazayuni kufanya safari nchini Indonesia.

  • 50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa Indonesia

    50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa Indonesia

    May 13, 2018 07:38

    Mashambulizi matatu ya kigaidi dhidi ya makanisa yamepelekea watu wasiopungua 10 kuuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa nchini Indonesia.

  • Ebtekar: Misimamo ya kufurutu mpaka, ugaidi na vita ni tishio kwa wanawake Waislamu

    Ebtekar: Misimamo ya kufurutu mpaka, ugaidi na vita ni tishio kwa wanawake Waislamu

    May 03, 2018 15:24

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya wanawake na familia amesema misimamo ya kufurutu mpaka, ugaidi na vita vinatishia maisha ya wanawake Waislamu.

  • Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Jan 14, 2018 04:36

    Kaimu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Indonesia amesisitiza udharura wa kuchukuliwa hatua za kurejesha haki za taifa la Palestina na kusema bayana kwamba, daima Beitul-Muqaddas itaendelea kuwa mali ya Palestina.

  • Wananchi wa Indonesia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Wananchi wa Indonesia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Dec 17, 2017 08:09

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano Jumapili ya leo kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel sambamba na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Waislamu Indonesia waandamana kuwatetea wenzao wa Rohingya

    Waislamu Indonesia waandamana kuwatetea wenzao wa Rohingya

    Sep 03, 2017 03:54

    Waislamu nchini Indonesia wamejitokeza kwa wingi mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani mauaji na jinai wanazofanyiwa Waislamu wenzao wa kabila la Rohingya huko Myanmar.

  • Ashtari: Iran iko tayari kuzipatia uzoefu wa kipolisi nchi za Kiislamu

    Ashtari: Iran iko tayari kuzipatia uzoefu wa kipolisi nchi za Kiislamu

    May 25, 2017 13:57

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikosi cha polisi cha taifa hili kiko tayari kushirikiana na nchi zote katika nyuga zote husuasan katika suala la kupambana na uhalifu wa kimataifa.

  • Mahakama yaagiza kucharazwa viboko mahanithi huko nchini Indonesia

    Mahakama yaagiza kucharazwa viboko mahanithi huko nchini Indonesia

    May 18, 2017 03:47

    Mahakama ya Kiislamu nchini Indonesia imetoa hukumu ya kucharazwa viboko 85 hadharani, mahanithi wawili waliopatikana na hatia ya kufanya liwati na kujihusisha na uhusiano wa jinsia moja.

  • Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu

    Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu

    May 09, 2017 13:55

    Gavana wa Jakarta, mji mkuu wa Indonesia amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kuuvunjia heshima na kuudhalilisha Uislamu.

  • Rouhani: Iran inakaribisha kuimarisha uhusiano wake na Indonesia

    Rouhani: Iran inakaribisha kuimarisha uhusiano wake na Indonesia

    Feb 28, 2017 07:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inaunga mkono kikamilifu suala la kuimarisha ushirikiano wake na Indonesia katika nyuga mbalimbali kama vile uchumi, siasa na masuala ya sayansi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS