Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • China: Tuko tayari kushirikiana na serikali ijayo ya Iran

    China: Tuko tayari kushirikiana na serikali ijayo ya Iran

    Jul 16, 2024 03:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema China inathamini uhusiano wake na Iran na iko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Jamhuri ya Kiislamu ili kuendeleza ushirikiano wa kimkakati na wa kina kati ya pande mbili.

  • Iran katika maombolezo ya Tasua, yaitaka dunia ikabiliane na jinai za Israel

    Iran katika maombolezo ya Tasua, yaitaka dunia ikabiliane na jinai za Israel

    Jul 15, 2024 09:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran sanjari na kutoa mkono wa pole kwa Waislamu kote duniani ambao hii leo wapo katika maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo za kusimamisha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye Tasua ya Imam Hussein AS

    Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye Tasua ya Imam Hussein AS

    Jul 15, 2024 07:21

    Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram wameshiriki katika vikao, marasimu, majlisi na shughuli mbali mbali za maombolezo ya Tasua ya Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume wetu Muhammad SAW.

  • Kan’ani alaani madai ya Argentina ya kuwahusisha raia wa Iran katika mlipuko wa

    Kan’ani alaani madai ya Argentina ya kuwahusisha raia wa Iran katika mlipuko wa "Amia"

    Jul 14, 2024 03:55

    Nasser Kanani Chafi, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran, amelaani matamshi yasiyo na ushahidi ya Waziri wa Sheria wa Argentina na vile vile taarifa iliyotolewa na Ofisi wa Rais wa nchi hiyo ikiwatuhumu raia wa Iran kuwa walihusika katika mlipuko wa jengo la "Amia".

  • Iran: Israel haijali mstari wowote mwekundu wa maadili

    Iran: Israel haijali mstari wowote mwekundu wa maadili

    Jul 14, 2024 03:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai mpya iliyofanywa na utawala wa Kizayuni katika eneo la Al-Mawasi huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya wakimbizi wa Kipalestina na kujeruhi mamia ya wengine.

  • BRICS, msingi wa Uhusiano wa Kimkakati kati ya Iran na Russia

    BRICS, msingi wa Uhusiano wa Kimkakati kati ya Iran na Russia

    Jul 13, 2024 23:26

    Uanachama wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) na BRICS umeweka msingi wa kuendelea zaidi uhusiano na ushirikiano wa kistratijia wa Tehran na Moscow.

  • Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani

    Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani

    Jul 12, 2024 07:11

    Harakati ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani iliyotikisa maeneo yote ya hiyo na kusababisha mamia ya maandamano, mikusanyiko na migomo katika vyuo vikuu kulalamikia jinai na uhalifu wa Israel hususan mauaji ya kimbari ya watu wa Gaza imekabiliwa na hasira kali ya serikali ya Washington.

  • Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Jul 11, 2024 23:34

    Mahakama moja nchini Iran imeiagiza Marekani kulipa takriban dola bilioni 7 kama fidia kwa waathiriwa wa ugonjwa wa ngozi wa Epidermolysis Bullosa (EB) nchini Iran.

  • Iran: Waliounga mkono mpango wa silaha za kemikali wa Saddam washtakiwe

    Iran: Waliounga mkono mpango wa silaha za kemikali wa Saddam washtakiwe

    Jul 11, 2024 09:52

    Balozi wa Iran nchini Uholanzi amesisitiza juu ya udharura wa kushtakiwa na kuadhibiwa waungaji mkono wa kigeni wa mpango wa silaha za kemikali wa utawala wa Baath wa Iraq uliokuuwa ukiongozwa na Saddam Hussein.

  • Azma ya Pakistan ya kuimarisha uhusiano wa pande zote na Iran

    Azma ya Pakistan ya kuimarisha uhusiano wa pande zote na Iran

    Jul 11, 2024 03:47

    Muhammad Shahbaz Sharf Waziri Mkuu wa Pakistan amesisitiza katika mazungumzo ya simu na Masoud Pezeshkian Rais Mteule wa Iran kuwa Islamabad iko tayari kustawisha uhusiano na Tehran. Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa mapatano yaliyofikiwa na nchi mbili katika ziara ya mwezi Aprili ya Rais Shahidi Raisi wa Iran huko Pakistan ni nukta muhimu katika uhusiano wa pande mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS