-
Iran ni miongoni mwa nchi 10 zinazoongoza duniani katika sekta ya bahari
Feb 14, 2024 23:00Naibu Waziri wa Barabara na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bandari na Bahari la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kila mwaka meli 40,000 hupita katika bandari za Iran na kuongeza kuwa, Iran ni miongoni mwa nchi 10 bora duniani katika sekta ya bahari.
-
Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran awataka Waislamu wote kusimama dhidi ya Israel
Feb 14, 2024 22:58Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholamhossein Mohseni-Ejei, amesema kuwa Uimwengu wote wa Kiislamu unapaswa usimame dhidi ya utawala haramu wa Israel na kutumia njia zote zilizopo ili kukomesha ushenzi wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza ulio chini ya mzingiro.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tuko tayari kufanya mazungumzo ya pamoja ya ulinzi na usalama na Saudi Arabia
Feb 14, 2024 09:18Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran iko tayari kufanya mazungumzo ya pamoja ya ulinzi na usalama na Saudi Arabia.
-
Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi
Feb 14, 2024 04:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.
-
Mokhber: Uwezo wa kielimu na kisayansi wa Iran unatia matumaini
Feb 13, 2024 23:50Makamu wa Kwaza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni jambo la dharura kutangazwa kwa upana mafanikio na ustawi wa kielimu na kisayansi wa Iran hasa kutokana na kuwa jambo hilo linatia matumaini kwenye nyoyo za wapenzi wa Jamhuri ya Kiislamu na linawakatisha tamaa maadui.
-
Wasomi na wataalamu 3,700 wa Kiirani warejea nchini
Feb 13, 2024 08:51Naibu Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mahusiano ya Kisayansi na Teknolojia anayehusika na Maendeleo ya Sayansi na Rasilimali Watu katika Ofisi ya Rais wa Iran ametangaza habari ya kurejea nchini wasomi na wataalamu 3,700 wa Kiirani katika fremu ya mradi uliopewa jina la "Connect".
-
Iran: Kupanua jinai za vita dhidi ya Wapalestina wa Rafah kutakuwa na madhara makubwa kwa utawala wa Kizayuni
Feb 13, 2024 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa onyo kali kwa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuuvamia mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza na kusema kuwa utakuwa na madhara makubwa kwa utawala huo.
-
Viongozi wa Muqawama: Vita vya Ghaza si vita vya mwisho na Wazayuni
Feb 12, 2024 22:58Viongozi wa makundi mbalimbali ya muqawama wa Palestina wameonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Damascus Syria na kusisitiza kuwa, mapambano ya taifa la Palestina tangu Wazayuni walipovamia ardhi za taifa hilo zaidi ya miaka 75 iliyopita, vimekuwepo na vitaendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Palestina itakapokombolewa.
-
Iran: Israel haina uwezo wa kuendeleza vita Gaza hata kwa siku 1 bila ya uungaji mkono wa Marekani
Feb 12, 2024 07:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian amesisitiza kuwa, iwapo Marekani itaacha kuuunga mkono utawala wa Kizayuni, utawala huo hautoweza kuendeleza vita dhidi ya Gaza hata kwa siku moja.
-
Rekodi ya Iran katika ustawi wa watu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 11, 2024 07:35Maendeleo ya pande zote ya Iran tangu baada tu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ndilo jambo ambalo lilitiliwa mkazo mno na Imam Khomeini, MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanaendelea kupewa umuhimu mkubwapia hivi sasa na Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.