Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Nov 18, 2023 00:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitaki vita vya Gaza vipanuke, lakini yumkini vitasambaa zaidi katika maeneo mengine kwa kuwa Marekani inachochea mgogoro huo kwa kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jibu la Iran kuhusu kupasishwa azimio la Canada dhidi yake

    Jibu la Iran kuhusu kupasishwa azimio la Canada dhidi yake

    Nov 17, 2023 05:44

    Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepitisha azimio jipya kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran katika hali ambayo idadi ya walioliunga mkono ilikuwa ndogo kuliko ya wale waliolipigia au kujizuia kupiga kura.

  • Kan'ani: Waungaji mkono wa Israel hawana haki ya kuinasahi Iran kuhusu haki za binadamu

    Kan'ani: Waungaji mkono wa Israel hawana haki ya kuinasahi Iran kuhusu haki za binadamu

    Nov 16, 2023 23:50

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelitaja azimio dhidi ya Iran kuhusu haki za binadamu lililopasishwa katika kamati ya tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa ni kinyume cha sheria na lilsilokubalika hata kidogo.

  • Amir Abdollahian: Hali ya Syria imekuwa ngumu kutokana na uingiliaji wa Marekani

    Amir Abdollahian: Hali ya Syria imekuwa ngumu kutokana na uingiliaji wa Marekani

    Nov 16, 2023 03:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika kikao na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria kwamba hali ya Syria imekuwa ngumu kutokana na uingiliaji wa Marekani.

  • Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa

    Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa

    Nov 16, 2023 00:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kuipa Israel silaha zilizoharamishwa kimataifa kama vile mabomu ya fosforasi ili utawala huo wa Kizayuni utumie silaha hizo dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza

    Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza

    Nov 15, 2023 10:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mwito wa kusitishwa mara moja uvamizi na mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna nafasi na uwezo wa kupata ushindi katika vita hivyo.

  • "Mauaji ya halaiki ya watu wa Gaza yanakanyaga sheria za kimataifa"

    Nov 13, 2023 23:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran sajari na kulaani mauaji ya halaiki ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa, jinai zinazofanywa na Wazayuni katika eneo hilo lililozingira ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • SEPAH: Jinai za Wazayuni haziwezi kuzuia ushindi wa Wapalestina; Iran imejiandaa kwa hali zote

    SEPAH: Jinai za Wazayuni haziwezi kuzuia ushindi wa Wapalestina; Iran imejiandaa kwa hali zote

    Nov 13, 2023 23:05

    Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, kamwe jinai za utawala wa Kizayuni haziwezi kuzuia ushindi wa Wapalestina, na pia Marekani itambuwe kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ina nguvu kubwa na hakuna mtu anayeweza kuliteteresha taifa la Iran kwa vitisho vyake.

  • Iran na China zakubaliana kuanzisha kituo cha pamoja cha mafunzo ya teknolojia mpya

    Iran na China zakubaliana kuanzisha kituo cha pamoja cha mafunzo ya teknolojia mpya

    Nov 11, 2023 23:26

    Wakuu wa Idara za Mafunzo za Wizara za Sayansi, Utafiti na Teknolojia za Iran na China wamekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha pamoja cha utoaji mafunzo ya kiufundi na kitaalamu na mafunzo ya teknolojia mpya.

  • Kanani: Watoto wa Palestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni

    Kanani: Watoto wa Palestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni

    Nov 10, 2023 03:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mjibizo kwa shambulio lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya Hospitali ya Watoto ya Al-Nasr huko Gaza, na kueleza kwamba: "watoto wa Kipalestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS