Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • ICJ: Marekani ilikiuka sheria ya kimataifa kuzuia mali za Iran, iilipe fidia

    ICJ: Marekani ilikiuka sheria ya kimataifa kuzuia mali za Iran, iilipe fidia

    Mar 30, 2023 23:18

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) yenye makao yake mjini The Hague wamehukumu kuwa Marekani ilikiuka sheria za kimataifa kwa kuziruhusu mahakama za nchi hiyo kutaifisha mali zenye thamani ya takribani dola bilioni mbili kutoka kwa makampuni ya Iran, na kuiamuru Washington ilipe fidia, kiwango ambacho kitafahamika hapo baadaye.

  • China: Luteka ya pamoja na Iran, Russia imeimarisha ushirikiano wa pande tatu

    China: Luteka ya pamoja na Iran, Russia imeimarisha ushirikiano wa pande tatu

    Mar 30, 2023 22:46

    China imepongeza kufanyika kwa mafanikio hivi karibuni mazoezi ya pamoja ya kijeshi baina ya nchi hiyo, Iran na Russia katika Bahari ya Oman na kueleza kuwa, luteka hiyo imeimarisha ushirikiano na urafiki wa pande tatu katika usalama wa baharini.

  • Amir Abdollahian: Mlango wa mazungumzo ya nyuklia hautabakia wazi milele

    Amir Abdollahian: Mlango wa mazungumzo ya nyuklia hautabakia wazi milele

    Mar 28, 2023 03:43

    Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema rasimu ya mpango wa kuainisha kiwango cha mazungumzo ya nyuklia inajadiliwa katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) na kusisitiza kwamba mlango wa mazungumzo hayo hautabakia wazi milele.

  • Iran yalaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Denmark

    Iran yalaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Denmark

    Mar 27, 2023 23:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani wimbi la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na makundi yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.

  • Ripoti: Baadhi ya mashirika ajinabi yalihusika na mauaji ya polisi wa Iran

    Ripoti: Baadhi ya mashirika ajinabi yalihusika na mauaji ya polisi wa Iran

    Mar 27, 2023 08:09

    Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran (HCHR) limechapisha ripoti mpya iliyofichua nafasi ya nchi za Magharibi na mashirika yao katika mauaji ya askari polisi wa Jamhuri ya Kiislamu wakati wa maandamano ya karibuni yaliyochochewa na mataifa hayo ya kibeberu hapa nchini.

  • Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia

    Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia

    Mar 26, 2023 03:39

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameeleza hofu na wasi wasi alionao juu ya muungano unaoweza kuanzishwa kati ya Iran, Saudi Arabia, China na Russia.

  • Kukiri Waziri wa Fedha wa Marekani kuhusu athari ndogo za vikwazo dhidi ya Iran

    Kukiri Waziri wa Fedha wa Marekani kuhusu athari ndogo za vikwazo dhidi ya Iran

    Mar 25, 2023 22:51

    Janet Yellen Waziri wa Fedha wa Marekani amekiri kuwa vikwazo vya Washington dhidi ya Iran vimekuwa na taathira ndogo kuliko ilivyopangwa."

  • Iran na Oman zajadili kuondolewa vikwazo Tehran

    Iran na Oman zajadili kuondolewa vikwazo Tehran

    Mar 25, 2023 03:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian amezungumza na mwenzake wa Oman, Badr Albusaidi kwa njia ya simu, na wawili hao wamejadili kuhusu hali ya sasa ya mazungumzo ya kuiondolea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vya kidhalimu.

  • Maafisa wa Iran, Lebanon wazungumzia matukio ya kieneo mjini Beirut

    Maafisa wa Iran, Lebanon wazungumzia matukio ya kieneo mjini Beirut

    Mar 24, 2023 04:21

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni la Iran, Kamal Kharrazi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut, ambapo wamejadili matukio ya hivi sasa ya kisiasa na kiusalama katika eneo la Asia Magharibi.

  • Iran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Aleppo yanakiuka sheria za kimataifa

    Iran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Aleppo yanakiuka sheria za kimataifa

    Mar 23, 2023 23:18

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya anga ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Aleppo (Halab) huko kaskazini mwa Syria na kusisitiza kuwa, uvamizi huo unakanyaga sheria za kimataifa, Hati ya Umoja wa Mataifa mbali na kuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS