Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kiongozi Muadhamu: Wamagharibi hawana muamana, miradi ya Iran isifungamanishwe nao

    Kiongozi Muadhamu: Wamagharibi hawana muamana, miradi ya Iran isifungamanishwe nao

    Jul 28, 2021 06:51

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mipango na miradi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipaswi kufungamanishwa na ushirikiano na nchi za Magharibi, kwani imedhihirika wazi wakati wa kipindi cha serikali inayomaliza muda wake hapa nchini kwamba, kuwategemea Wamagharibi hakuna faida yoyote.

  • Iran yavunja mtandao wa magaidi wa MOSSAD

    Iran yavunja mtandao wa magaidi wa MOSSAD

    Jul 27, 2021 21:02

    Vikosi vya Wizara ya Intelijensia ya Iran vimefanikiwa kusambaratisha mtandao wa magaidi wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) magharibi mwa nchi.

  • Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Jul 27, 2021 20:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.

  • Iran yasajili chanjo yake ya Corona COVIran Barekat katika WHO

    Iran yasajili chanjo yake ya Corona COVIran Barekat katika WHO

    Jul 24, 2021 20:52

    Mchakato wa kusajili chanjo ya kuzuia ugonjwa wa COVID-19 iliyoundwa hapa nchini Iran ya COVIran Barekat katika Shirika la Afya Duniani (WHO) umeanza.

  • Iran: Tumejitosheleza katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone)

    Iran: Tumejitosheleza katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone)

    Jul 22, 2021 22:34

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imefikia hatua ya kujitosheleza kikamilifu katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone).

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na waziri mwenzake wa Togo

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na waziri mwenzake wa Togo

    Jul 21, 2021 21:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa Togo na nchi mbili hizi zimetilia mkazo wajibu wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili katika nyuga zote.

  • Sala ya Idul-Adhha yasaliwa kote nchini Iran kwa kuzingatia miongozo ya kiafya ya kujiepusha na corona

    Sala ya Idul-Adhha yasaliwa kote nchini Iran kwa kuzingatia miongozo ya kiafya ya kujiepusha na corona

    Jul 21, 2021 03:24

    Sala ya Idul-Adhha imesaliwa katika kila pembe ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo, huku waumini wakizingatia miongozo ya kiafya ya kujihadhari na maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

  • Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Kenya

    Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Kenya

    Jul 20, 2021 06:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitia kuimarisha uhusinao baina ya nchi mbili za Iran na Kenya wakati alipopokea hati ya utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Kenya mjini Tehran.

  • Iran: Tuko tayari kushirikiana na Iraq katika kukabiliana na harakati za kigaidi

    Iran: Tuko tayari kushirikiana na Iraq katika kukabiliana na harakati za kigaidi

    Jul 20, 2021 02:52

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kushirikiana na Iraq katika kukabiliana na hakati za kigaidi nchini humo.

  • Zarif: Marekani inaficha uhalifu wake kwa kuzitupia tuhuma nchi nyingine

    Zarif: Marekani inaficha uhalifu wake kwa kuzitupia tuhuma nchi nyingine

    Jul 16, 2021 22:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu propaganda chafu mpya za Marekani ndhidi ya Iran na kuishauri Washington ishughulikie masuala ya ndani ya nchi hiyo badala ya kuzitupia tuhuma nchi nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS